Recent content by Seancody

  1. S

    Tangu Magufuli aingie madarakani ni mambo mawili tu ninayompongeza

    Anakuaibisha nn mtu kuongea lugha yake.... anakuaibisha?
  2. S

    Mwakalebela aweka picha za hovyo kwenye akaunti yake

    Ila humu jukwaani sasa wazushi ni wengi mno... tulianza vema ambapo ukisikia jambo lazima uingie humu upate uhakika.. lakini siyo sasa ambapo uzushi unaanzia humu... very sad!!!
  3. S

    Muongozo na ushauri kwa wanafunzi udahili vyuo vikuu 2015/16

    Kuhusu kupata mkopo sio kuhusu chuo... bali ni masomo gani yanayopewa kipaumbele kupewa mikopo... hivyo nakushauri fanya follow up na HESLB ujue kwa undani kabla ya application yako
  4. S

    Tabia za Kitanzania zinazonikera...

    matumbo... we kiboko hiyo ni kali sana! Thus why shaking hand sio salama sana.
  5. S

    Kura za wabunge inakuwaje zinaharibika?

    watu wengine wanavyo argue inakera sana...walioharibu kura kina nani eti lyatonga lusinde (mind kura zilikuwa ni siri) sijui nani! mbona hamfikirii wale ambao walitaka tena kwa nia kabisa kususia uchaguzi huo ndani ya bunge lenyewe kuwa ndio wasie 1st suspect wa kuharibu kura na tumewasikia humu...
Back
Top Bottom