KWA MOTO NILIOUSHUDIA KATIKA UCHAGUZI MDOGO WA MADIWANI-2013. HAKIKA MUHEZA INAWEZA KUJINYAKULIA HISTORIA PEKEE YA KUWA WILAYA YA KWANZA MKOANI TANGA KUMTOA KIONGOZI WA KWANZA WA JUU KATIKA CDM.ESPECIARY DIWANI/MBUNGE. MUNGU WABARIKI MAKAMANDA HAO. EEEEEIIIMEEEEE:flypig:
Nimechoka na tamko hilo halafu tamko dhaifu hilo linatufanya tuonekane wanyonge kweli. kukubali aliyetumwa majina hakufikisha kabisa ingekuwa busara za kuongozwa na roho. Lakini kupindisha maandiko kuwa serikali ni baba yao haki ya kweli wakati wenu utafika. pengine haya makanisa wengi wakimbizi...
Mwaka 2005 mh.Freeman Ikael Mbowe alitangaza CCM kuwa janga la Taifa. Ni kauli alipenda kuitoa katika mikutano mbalimbali nchini wakati wa kipindi cha kampeni za kugombea urais kwa tiketi ya CHADEMA chama cha wanyonge. Kwa wana JF hapa la kushirikishana ni hili,
Mosi je suala linapotajwa kuwa...
Tawi la CHASO chuo kikuu cha Tumaini Tanga jana jioni katika kikao serious walimtoa madarakani katibu wao mwenezi baada ya kuingia mkataba na ccm kuhakikisha analizorotesha tawi hilo. Tazama tangu awepo madarakani hatuna kabisa vikao! ¡° hata hiki kikao kimeombwa na wadau¡° walisema wajumbe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.