Kama kijana nimeamua kuja huku ,tupeane ujuzi na ushauri,kuna MTU yuko tayari kunipa mtaji wa biashara,kuanzia 1m kushuka chini,je ungekuwa ndo ww ungefanya bizness IPI yenye mzunguko mzuri wa fedha kwa karne hii ya magu.Mimi npo dar .karibuni kuchangia wadau
Kama ni mjuzi Wa kutengeneza sabuni za miche za gwanji au kigoma njoo pm,uwe dar umri wowote jinsia yoyote ilimradi uwe unajua kutengeneza sabuni kwa kiwango kizuri
nimekuwa nikisumbuliwa na Huu ugonjwa Wa ngozi ,natokewa kama vibarango/utango tango /kama mba hivi hasa mikononi mpka umefika na usoni,nikipauka kidogo tu unaonekana,nipake nn jman au nitumie dawa gan uishe?
wadau ,nafanya biashara ya mikoba ya mtumba yaan pochi za kike mix na mabegi ya shule hapa dar.nahitaji kujua wap ntapata mabelo ya mikoba mtumba nje ya Tanzania Kwa bei ya chini tofauti na ya ya huku(Tanzania).Kwa anaejua MTU au kampuni nayoweza agiza na mzigo ukafika salama,anielekeze .shukrani
Write your reply...Huu jamaa bwana alikuja humu ya Uzi Wa nafasi za kazi imalaseco supermakert ,kumbe wizi tuu ,akawa anashirikiana na mwarabu koko wake wa kariakoo et form ya kupata kazi ni laki,nilimwangalia yule mwarabu nusu nimpasue ubongo Ila basi next time atanyea debe central.na nyie...
we jamaa nimekwambia tulia ,usirulie gari mbele ,unatetea unamjua ww?hyo thread ya imalaseko kama hukuiona tulia,cna mda mchafu wa kuitafta,waliyoiona wanaelewa kwamba huyu jamaa ni tapeli tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.