Rakims,naomba no ya kurusha pesa nataka unichekie mlango wa 2 na 12,pia mlango upi unatakiwa uniangalizie ili nijue jinsi ya kushinda betting?nyota yangu ni punda Kwa ndoo
Rakims nina swali khs mafusho Kwa Mimi punda/kondoo..nimepata Qist ya mizizi je inaruhusiwa 1.kuitafuna ? 2.kuioga Kwa kuchanganya na maji rose baada ya kuisaga inaruhusiwa?
Kuhusu udi Kwa nyota yangu naruhusiwa kuutumia?
Natanguliza shukran
Rakim ubarikiwe nimesoma khs punda kweli ni mm,napitia kulee kwny somo la malango 12 then nikusumbue khs kubet na life in general.vigezo na masharti ya uzi wa malango nitavifuata#shaka ondoa
Naweza nikakusaidia,nataka nimjue Ili nikupe details zake kwanza,kule maisha ni magumu anaweza kukwambia nataka kurudi Kumbe shida yake ni hiyo pesa aitafune,mm nikituo Changu cha kazi Huwa Nakaa mwezi then Narudi wiki 2 kupumzika pia nilisoma huko 1999 Kwahiyo kidogo nawafaham
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.