Wazo la kuanzisha shule za kata lilikuwa zuri hata mimi nalipongeza ila kuna mambo ambayo yalishindwa kusimamiwa kwa ufasaha cjui ali create hii Idea alikufa? Alafu wazo lake likabaki likielea au alikuwa Lowassa alipoondoka kukawa hakuna muendelezaji wa wazo lile zuri mimi binafsi nimekombolewa...
CCM kuna viongozi wachapakazi na waaminifu Ila hata cjui Makonda Ana kigezo gani kuwa kiongozi Mkubwa wa UVCCM
>hajui kutetea hoja anayoiongelea
> Ni mpiga kelele zisizo na maslahi
>Hana passion ya uongozi hata kidogo labda uongozi wa familia yake
>Mi ningemshauri atumie taaaluma yake...
Hao wahisani aliyewatafsili hiyo hotuba aliwatafsilia tofauti na ile hotuba ya rais aliwaambia rais katimua wote hadi waziri mkuu Wale jamaa wanategemea kutafsiliwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.