Ndugu wanajamvi, napenda kuwajulisha kuwa nilifanikiwa, nilienda pale Mwenge na kukutana na wahusika na shida yangu kutatuliwa. Hivyo wote waliokuwa wakitatizwa kwamba ofisi zipo Mwenge au Msasani mtakua mmefaidika na uzi huu.
Shukrani kwenu nyote.
Wanajamvi heshima kwenu.
Nia ya kuanzisha thread yangu ni kutaka kujua zilipo ofisi za Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi. Ninalo tatizo nyeti ambalo utatuzi wake ni kupata ufafanuzi kutoka kwao, Nashukuru kwa kusoma thread hii na natumaini msaada wenu.
Asante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.