Recent content by School face

  1. School face

    TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

    T - pesa ni changamoto unajikuta unatoa hela ukiweka namba ya siri inaandika time out ukipiga huduma kwa wateja unaambiwa muamala hujaenda unaambiwa toa tena napo inakua vile vile mwisho wasiku unaamua kuhailisha ndo unaona text zinakuja nyingi za miamala uliyo fanya unajikuta umetoa pesa zaidi...
  2. School face

    Tarime kama Tarime

    Habari wana Jf, Moja kwa moja niende kwenye mada tajwa hapo juu. Nimetembelea tarime mjini na vijijini kwa muda sasa lakini nimestaajabishwa kuona kila hotel kubwa au ndogo ya mjini au vijijini. Unapokua umeagiza msosi unaletewa kwenye sahani za plastic mwanzo niliona kama kitu cha kawaida...
  3. School face

    Mimi siyo Tajiri. Mngemwona Baba yangu mngezimia na kufa kwa mshangao

    Mkuria wakwanza kua na sifa za kihaya
  4. School face

    MV Kigamboni ilituletea hofu iliposhindwa kutia nanga leo

    Kwakwel vitu muhim vyakujifunza hiki nacho ni kitu muhim sana asee
  5. School face

    Hii kimahesabu imekaaje kuhusu Mkopo wa Elimu ya Juu?

    Kwa halo hii kwakwel haitawezekana
  6. School face

    Ex Girlfriend kaniganda

    Tuma namba tusaidiane majukumu
  7. School face

    Mwana JF uliye ghorofani ndani ukumbi wa starehe Musoma nyanyua mkono halafu tuseme yekete

    Vile vijamaa vya kuomba omba bia leo vipo vingi ebu nataka mtu yoyote aliyeingia badae alete feedback
  8. School face

    Hii tabia Musoma inakera sana

    Gorofan hapo ndipo napo zungumzia
  9. School face

    Hii tabia Musoma inakera sana

    Gorofan pale mzee uje siku mmoja utajione alafu uje ulete feedback hapa Jf ikibidi ni tag kabisa
  10. School face

    Hii tabia Musoma inakera sana

    Mzee we unaweza toka kwako ukafungasha p*mb* zako ukaenda bar kuomba pombe serious
  11. School face

    Hii tabia Musoma inakera sana

    Mzee unaonekana hupafaham Musoma me nimezaliwa Musoma na ninaishi Musoma na nimezungumzia Musoma mjini sijazungumzia mkoa wa mara huenda unaongea vitu usivyo vijua me nimezungumzia wilaya ya Musoma mjini Ndipo Kuna hii tabia iliyojitokeza sasaiv na ukimuuliza mtu yoyote anaishi Musoma...
  12. School face

    Hii tabia Musoma inakera sana

    wapo ila sio wengi
  13. School face

    Hii tabia Musoma inakera sana

    Sio mara ya kwanza me kwenda pale mkuu kila ijumaa nikipata nafasi hua naenda na sijaongelea vijana wote ila ni baadhi ya vijana wenye tabia hii na kutokana na tabia hii watu wameanza kupakimbia pale na wanaenda ADAVI me na rafiki zangu wengi sasaiv wamehamia uko kwasababu hawataki usumbufu na...
Back
Top Bottom