Kuna watu wanatumia uwanja wa KIA na wameshazurura sana kwenye airport za Amserdam, Zurich, Michigan, LA, Frankfurt, Munich, Ataturk, DXB ,Heathrow wakati unaendelea kuishangaa Dar.
Kuna wakati nilikutana na Mshkaj alikuwa hajawahi kufika Ubungo ni Mzanzibar yeye anajua Bandarini na Airport