Bila shaka wapo lakin katika jamii ya Kinasara(Kikristo)ni kama wameoza maana ipo kuanzia kwenye Mimbari( Madhabahu) za ROME Makasisi wenu ndio waasisi wenu mpaka POPE akaona isiwe shida aanze kuzibariki ndoa za Wasenge ndani ya Kanisa.
Jambo hilo si sawa, na Hakika ya swala iliyoswaliwa vizur kwa kutimia ahakam na sharti zake inatakiwa imzuie/Imkataze mswaliji kutokana na uovu na uchafu.
Hivyo ikiwa mtu atakuwa anaswali lakin bado hajaweza kujizuia na maovu basi kuna shaka ya swala yake haijakubaliwa.
Ila hatakiwi kuacha...
Albadili ni ushirikina na mara nyingi hufanywa na watu wanaojinasibu kuwa wao ni Masheikh katika Uislam na hakika ilivyo hafanyi Mtu jambo lile ila Tayari anakuwa Mshirikina na si Muislam tena ,
Na Albadili ni Ushirikina
Yampasa kila mmoja kuchagua upande wa haki hata kama haki hiyo itakuwa ni yenye kukubana na kukusababishia maumivu na unyonge.
Ni Mtu aliyekosa utu pekee na asiyefikiri sawasawa au aliyepata kudumaa utotoni ndio anaweza asione dhulma zinazofanywa na Tel Aviv.
Hezbollah anakuwa Gaidi kwa...
Unajiona umepatiia mwenyewe. Anapswa ajue na aelezwe kama yapo madhara ya kuiingia mapema au faida iwapo zipo.
Na usipomwambia Wewe ataambiwa na wengine tena kwa namna wanayoijua na kuipenda wao
Kuna watu wanatumia uwanja wa KIA na wameshazurura sana kwenye airport za Amserdam, Zurich, Michigan, LA, Frankfurt, Munich, Ataturk, DXB ,Heathrow wakati unaendelea kuishangaa Dar.
Kuna wakati nilikutana na Mshkaj alikuwa hajawahi kufika Ubungo ni Mzanzibar yeye anajua Bandarini na Airport
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.