Acha na mm kidogo nitoe ya moyoni.
Habar ya weekend
Nasikitishwa sana na utawala wa huyu mama asa asa kwenye mfumuko wa bei.
Yaan vitu vinapanda bei kila baada ya masaa na mama kimya, nafaham yy hana shida maana kila kitu anahudumiwa na kodi zetu,
Alaf vitu vinavyopanda bei ni vile potential...
Waja JF wasalaam
Natambua changamoto za biashara, hiz sio kwamba nilizipitia bado naendelea kuzipitia
Hivyo nilikuwa naomba kwa yeyote ambaye angalau anauwezo ktk hii biashara tushirikiane kuchambua soko kila siku. Najua tunatumia strategies tofaut, lakin kwa kiasi fulan zinaendana...
Wafabiashara wa masoko ya Hisa dunian(forex,crypto,bitcoins,binary options,gold,oil etc ebu tukutane hapa.
Eleza changamoto unazokutana Nazo, umekata tamaa au bado, umesoma vitabu vingapi, kipi na kipi, safari unaionaje, utatoboa?
Pls kama umeshindwa biashara kaa kushoto usilete maneno ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.