Hivi umewahi kisoma au kisikia namna wareno walivyowafanyia ukatili na unyama uliopindukia watu wa afrika mashariki Kwa miaka 200. Hivi umewahi kisoma au kisikia kuhusu mauaji ya kimbari ya Namibia? Waafrika zaidi ya milioni 2 waliuliwa kinyama na wajerumani.
Vipi uliwahi kisikia kuhusu vita...
Na chengine ambacho ndugu yetu hakijui ni kwamba,wanunuaji wakubwa wa watumwa kutoka afrika walikuwa wazungu.
Mfano marekani kwenyewe,Brazili,Jamaica,Haiti, na nchi zote za carrebian. Halafu Leo unakuja kutwambia hawawabagui waafrika?! Kweli mapenzi ni kipofu.
"KAZI ANAYOIFANYA MAKONDA ILIPASWA KUFANYA NA UPINZANI". Hivi wapinzani wanaweza kuwaita wakuu wa mikoa,wakuu wa wilaya,wakurugenzi wa halimashauri,RPCs na watendaji wengine wa serikali kwenye mikutano yao na kuwahoji na kuwapa maelekezo kama anavyofanya makonda?
Nchi karibu zote za kiafrika baada ya uhuru zilingia katika mfumo wa kidikteta isipokuwa afrka kusini na Botswana. Na zote zimekuwa na maendeleo duni isipokuwa Botswana na south Africa.
Vijana hawajavunja mwiko, hawajafikia hata robo ya robo ya maandamano yaliyokuwa yanafanywa na CUF miaka ya 2000. Kipindi hicho jeshi la polisi likiongozwa na IGP mbabe Sana bwana Mahita.
Lakini pia CHADEMA ya Dr Slaa ilikuwa ya Moto Sana kwa maandamano. So hakuna mwiko Wala upawa uliovunjwa...
Kwanini msiwaache tu wakaendelea kivyao?! Kama mnaona ni pasua kichwa waacheni kama walivyokuwa kabla ya muungano. Kumbuka Tanganyika iliungana na nchi yenye mamlaka kamili inayoitwa Zanzibar na sio mkoa.
Kwa katiba ya sasa tunalipa mshahara wa mkuu wa mkoa(Gavana),Katibu tawala wa mkoa,wakuu wa wilaya,makatibu tawala wa wilaya, wakurugenzi wa wilaya, wabunge, makatibu tarafa,madiwani n.k ndani ya mkoa mmoja.
Huyu mzee uwezo wake wa kufikiri umeshazeeka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.