Hilo Ni Tatizo Ambalo Huwapata Watu Ambao,mara Nyingi Uume Husimamisha Kwa Mda Mrefu Na Huishia Lutofanya Tendo La Ndoa,kuna Mishipa Huasirika Na Kusababisha Vijidamu Kutoka. Jaribu Tiba Ya Kunywa Maji Ya Vuguvugu Kwa Wingi Ili Kupata Mkojo Mwingi Utakao Safisha Kibofu Na System Nzima Ya...
Tatizo sio wanaosubiri tatizo ni taarifa wanazotoa kwenye vyombo nvya habari kwamba tayari kisha wanataja na tarehe ,kama hali ndio hiyo si wakae kimya wasubiri mpaka watakapo tangaza tu.
Hizo ni taarifa karibu kila chuo huwa zinaenea,lakini inawezekana hasambazi yeye kwa uharisia waasirika wa UKIMWI ni wengi kuanzia chekechea mpaka elimu ya juu kwa hiyo kuwepo elimu ya juu kwa wingi haiepukiki kabsaaaaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.