swali la kwanza kwa Dart. 1.hivi mnajua idadi halisi ya watu wanatakiwa wapande gari zenu??2. Tunajenga miundombinu ya barabara why magari hatuongezi???3.mnashindwa kuboresha Mazingira ya vituo vyenu hasa mbezi to kimara mvua ikinyesha ni hatari
kitabu chochote cha Otabil mensa muhubiri wa Ghana kinacho husu Wisdom kitatusaidia nacho maana nacho kina siri za ajabu sana tusaidieni tupade pdf wapendwa muanzisha uzi tunaomba msaada
mwenye kitabu cha the Secrete ameandika dada anaitwa LINDA AU LONDA tunamuomba akiweke humu maana nasikia kina siri za ajabu sana ambazo hazifundishwi popote pale
Ukitaka kujua jinsi #MATAGA wanavyomchezea akili Rais ni km walivyofanya baada ya ku hack acc ya Zitto, wana tweet na kumtag @MagufuliJP ili adhani kuwa Zitto ndiye anaye tweet. Then waliohack wanapewa teuzi za u DC, u DED, etc Disgusting!
Nape Moses NnauyeVerified account @Nnauye_Nape
FollowingFollowing @Nnauye_Nape
More
Nimeona tweets zinazodaiwa kuwa za Ndg Zitto zikinitaja. {Kakanusha sio zake}. Kilichonishangaza ni uwezo mdogo wa kufikiri wa wadukuaji! Mnanyimwa usingizi na nini?? Hamuwezi kuendelea na maisha MSIPONITAJA...
Zitto Kabwe RuyagwaVerified account @zittokabwe 1h1 hour ago
More
Wapo ambao najua wataniita majina mengi ya ajabu kwa maamuzi yangu haya kama jinsi ambavyo wamekuwa wakimshambulia ndugu yangu @Nnauye_Nape kwa kutokuwa na misimamo thabiti lakini nataka niwaambie huo ndio msimamo wangu na sitaki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.