Hapo kwenye faini, na mtoa taarfa kupewa chochote hio kwa kazi yake hio imekaa vizuri na itasaidia kuwa kila mtu atakuwa mlinzi wa mwenzake
Lkn yote hayo itategemea na utayari wa serikali ya eneo husika, mana mara nyingi tunaona sheria, kanuni na miongozo inaletwa alf mwisho wa siku inapotezewa...
Naomba kuuliza virus vya UKIMWI huoneka baada ya mda gani kwenye vipimo vya hospital baada ya mtu kuambukizwa.??
Au ni mda wowote hata baada ya sex na mwenye + kama umekupata unaweza kupima na ikaonekana umeshakuwa muathirika.?
Kuna kipindi fulani hivi kama mwezi wa 8 nilikuwa katika mahusiano na binti mmoja hivi, kumbe bila ya mimi kujua yule binti ana HIV+ na siku tunafanya mapenzi alikuwa anasitasita nadhani nafsi yake ilimsuta kwa sababu sikuwa na condom, nilipoingiza tu mara moja hakutaka niendelee tena
Sasa juzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.