Kulikoni Azam UTV?

Kulikoni Azam UTV?

maiyanga1

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
1,388
Reaction score
1,937
Naona mambo ya AFCON yanajirudia.

Kipindi kile walitangaza kuonyesha mechi zote wakaishia kuonyesha mechi chache.

Toka juzi wanatangaza kwamba wataonyesha mechi za Ligi ya waliotutawala.

Cha kushangaza mechi ilipoanza tu wameifunga. Kulikoni?
 
Me nkajua kwangu tu, au ndo wanatutega tulipie package ya kuangalia channel zote..!!!!
 
Back
Top Bottom