Mtoa mada naona povu limekutoka kweli,embu nikuulize aliyetoa huo ujumbe ninani je anawadhifa gani ndani ya chadema,huyo aliyesambaza ujumbe huo mi nionavyo ni maoni yake,watu wanaweza wa kayachukua ama wakayapuuzia,na hata wewe uliyeingiza mambo ya uchochezi kwa kuzihusisha taasisi za kidini...
Aise pol sana ndugu yangu,huyo jamaa Malik mtoto wa marehemu Hussein,hivi ajaacha utapeli wake? huyu jamaa baba yake alikuwa mshkaji wetu sana na mtu wa kujituma hususani ktk masuala ya uchimbaji mdogo mdogo wa madini pia na ufugaji wa ma bwawa ya samaki,mshua wake alikua mtu wa kujituma sana...
Naona ndugu yangu hufikirii mbali,Zitto akikosea ndani ya chama hapaswi kupewa onyo? ameonywa mara ngapi ndani ya CDM ila akawa anapuuzia, kumbuka chama si mtu mmoja chama ni taasisi kina mamlaka zake,ikiwa kiongozi wa ngazi za juu anakwenda kinyume na chama anapaswa kuonywa ikishindikana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.