Recent content by Sauti ya Siha

  1. Sauti ya Siha

    JamiiForums Tanzania Pendekezo: Hamidu Mwanga avuliwe Ujaji wa Mahakama Kuu

    Tumeni hata picha yake sisi hatumjui
  2. Sauti ya Siha

    JamiiForums Tanzania Je Wajua, Rais kama Taasisi, Hakosei?, Ila Rais Kama Binadamu, Anaweza Kukosea na Ana Haki ya Kukosea. Kufanya Kosa Si Kosa, Kosa Kurudia Kosa-Mw. JKN

    Ni ukweli kabisa,Urais kama taasisi umeonyesha kutokujali mauwaji yaliyotokea okt 29 .Ila Uraisi kama ubinadamu yale Mauaji ni kitu kinachomuuma sana Mama samia ni watu hawajui tu.Yeye kama binadamu ni kitu hata kaa asahau maisha yake yote.inamuumiza sanaaaa
  3. Sauti ya Siha

    JamiiForums Tanzania Je, Mungu alimuona Adam anafanya nini hadi akaona si vyema awe peke yake?

    Dah nimecheka kama mazuri vileeee
  4. Sauti ya Siha

    JamiiForums Tanzania Ufanyike uchunguzi wa kina na wa sirisiri kwa viongozi wanaokufa ghafla

    Ikimpendeza Mungu wewe ufuate
  5. Sauti ya Siha

    JamiiForums Tanzania Serikali yapiga marufuku kutumia CCTV Camera bila usajili. Je, ni kuwalinda wasiojulikana?

    Nilipita mahali wakawa wananiambia una uboo mrefu!!!he! Nikajiuliza wameuona wapi? Mdada wa kazi wa nyumba ile akaja kuniambia kuna siku nilikojoa enjoy hilo wakaniona kwenye kamera zaa thithitiviii.Serikali iko sahihi kweli
  6. Sauti ya Siha

    JamiiForums Tanzania Salum Mwalimu na Moza Ally wa CHAUMMA wamepata ajali ya gari

    Kila mtu aliyeshiriki dhambi ya okt 29 atalipia kwa namna yake...huyu ilitakiwa afe kabisa mbwa
  7. Sauti ya Siha

    JamiiForums Tanzania Kwa kauli hii ya Padre Kitima nimeamini kuwa kweli Kanisa Katoliki ni sikio la kufa

    Ndio maana nakuambia we umekulia mtaani na malezi yote ni ya.kimtaani?
  8. Sauti ya Siha

    JamiiForums Tanzania Kwa kauli hii ya Padre Kitima nimeamini kuwa kweli Kanisa Katoliki ni sikio la kufa

    Ukiwa chawa huwezi kuona elimu ya F.KITIMA Lakini ukiwa smart kichwani Kitima ni bonge la msomi,na hoja zake zimejaa madini leo wewe bila CCM unakukufa mbwa wewe
  9. Sauti ya Siha

    JamiiForums Tanzania Jaji Mkuu: Mahakama kuanza kuandika hukumu kwa Lugha ya Kiswahili

    Kinachomchekesha ni nini ?
  10. Sauti ya Siha

    JamiiForums Tanzania Maoni: Huenda Dkt. John Nchimbi akawa ndie makamu wa Rais bora zaidi Tanzania tangu uhuru

    NA HUENDA HUYU AKAWA NDIE WAZIRI MKUU WA HOVYO KUWAHI KUTOKEA
  11. Sauti ya Siha

    JamiiForums Tanzania Mpangaji wa Mikakati Dhidi ya TEC na Fr. Kitima atambulika

    Mimi ningeshauri kanisa katholiki lichunguze kwa makini hawa waasi, kama kweli ni wakatholiki,watengwe kabisa wao nafamilia zao mpaka ndugu wa ukoo mzima.hata kama kuna mwanafamilia anayesomesha katika shule zao piga mkasi wote ili akili ziwarudi
  12. Sauti ya Siha

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Barua ya wazi kwa Balozi wa Papa juu ya kauli ya Askofu Ruwa’ichi

    Mwisho wenu utakuwa mbaya sana.Vijana wa hovyo kuwahi kutokea
  13. Sauti ya Siha

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Barua ya wazi kwa Balozi wa Papa juu ya kauli ya Askofu Ruwa’ichi

    Hawa wanatakiwa watengwe kabisa na jamii pamoja na familia.zao
Back
Top Bottom