Ni ukweli kabisa,Urais kama taasisi umeonyesha kutokujali mauwaji yaliyotokea okt 29 .Ila Uraisi kama ubinadamu yale Mauaji ni kitu kinachomuuma sana Mama samia ni watu hawajui tu.Yeye kama binadamu ni kitu hata kaa asahau maisha yake yote.inamuumiza sanaaaa
Nilipita mahali wakawa wananiambia una uboo mrefu!!!he! Nikajiuliza wameuona wapi? Mdada wa kazi wa nyumba ile akaja kuniambia kuna siku nilikojoa enjoy hilo wakaniona kwenye kamera zaa thithitiviii.Serikali iko sahihi kweli
Ukiwa chawa huwezi kuona elimu ya F.KITIMA Lakini ukiwa smart kichwani Kitima ni bonge la msomi,na hoja zake zimejaa madini leo wewe bila CCM unakukufa mbwa wewe
Mimi ningeshauri kanisa katholiki lichunguze kwa makini hawa waasi, kama kweli ni wakatholiki,watengwe kabisa wao nafamilia zao mpaka ndugu wa ukoo mzima.hata kama kuna mwanafamilia anayesomesha katika shule zao piga mkasi wote ili akili ziwarudi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.