Recent content by Satumbo

  1. Satumbo

    Somo Ambalo haukulipenda Kabisa, ulilisoma basi tu ilikubidi!

    HISTORY, somo hili sikulipenda japo nilikuwa nikifanya vzr ktk mitihan lkn kwangu me niliona kama linanitia hasira kwa kunijuza maovu yaliyofanywa enzi za ukoloni na bado viongoz na walimu wa somo hilo walizid kuonyesha kuwanyenyekea wagen hao ambao baba na babu zao ndo wametutesa
  2. Satumbo

    Watu wanakwenda University/Chuo ili iwe nini?

    bonge la ujumbe sema tu hujasomeka kwa watu wengi! ni vyema na haki mtu aka focus kwenye fun yake na sio kufuata mkumbo. kama unakwenda chuo kwa lengo la kuendeleza fun yako its okay lakini kama unakwenda chuo kwa fun isiyo yako umepotea kabisaaa... kwani utajutia mda na pesa ulizo poteza. "Do...
  3. Satumbo

    Kama hujaona taarifa zako za mkopo niulize nikusaidie

    The student with Index number 'S0759.0061.2007' did not secure a higher education loan for 2014/15 academic year.
  4. Satumbo

    Kama hujaona taarifa zako za mkopo niulize nikusaidie

    The student with Index number 'S1634.0074.2007' did not secure a higher education loan for 2014/15 academic year.
  5. Satumbo

    Msaada: Nafasi za hostel NIT

    utazipata chuoni
  6. Satumbo

    Karibu Chuo cha Taifa cha Usafirishaji, Mabibo

    Niambie direct cost ni kiasi gan?
  7. Satumbo

    Hatua na taratibu za kuhama chuo au kozi

    kweliiiiiiiii!!!!!!!!!!!!!!!
  8. Satumbo

    Selection RUCO 2014/2015, angalia jina lako hapa

    yap nami pia coz huyu jamaa kama vile hajielewi
  9. Satumbo

    Hatua na taratibu za kuhama chuo au kozi

    mbona hawa watu wako free sana kutunyonyo inamaana serikali hailioni hili jamani mbona tunaandaana kuwa mafisadi sasa, coz haiwezekani m2 unyonywe namna hii alafu we badae upotezee lazima kufidia 2 hapa
  10. Satumbo

    TCU yakifungia chuo cha IMTU kudahili wanafunzi wapya

    hiyo kali..... vyuo vingine bhana! twapasw kuwa makini na vyuo vya ajabu ajabu kama hivi
  11. Satumbo

    Mechanical Engineering ipoje kwenye ajira?

    kiaje fafanua zaidi mkuu
  12. Satumbo

    Mechanical Engineering ipoje kwenye ajira?

    Hi! jamani vp kuhusu hiyo course ikoje hasa kwa case ya kujiajili na kuajiliwa.
Back
Top Bottom