Habari za leo wanajamvi,
Naomba ushauri kwa wazoefu na biashara ya stationary( jumla na rejareja).Mambo muhimu ya kuzingatia pia kuhusu location nzuri hususani kwa Dar au Mwanza
Karibu na ahsanteni
Hello Team,
Happy Holidays and nice to e-meet you!
I know that you are experts on video editing. Therefore I'm writing to ask you if you can work in Fusion/Davinci Resolve, we have a client who might have some videos which are complicated and require more motion graphics and VFX work :)...
Habari wanajamvi ,natafuta mke wakuoa awe na sifa zifuatazo.
1: Awe na elimu Kwanzia kidato cha 4 na kuendelea,
2: Awe anajitambua
3: Awe mkristo
4: Awe anajua kupika na msafi
5: umri miaka 20-28
6: Akiwa mjasiriamali ni nzuri zaidi
SIFA ZANGU
1: Elimu Degree
2: umri 30
3...
*Mwalimu wa history anahitajika feza boys* *secondary*
*Sifa za muombaji*
Chuo mlimani or Duce
Umri 24-30
GPA 3.5 up to 5.0
Tuma online kupitia email address hiyo chini
Info@fezaschools.org
application@fezaschools.org
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.