Kwa uzoefu wangu mara nyingi hupendelea uandike kwa mkono ....so its better achalaze kwa mkono assign afu ascan na utume
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Sasa unanibishia mkuu ama?au una stress ndugu yangu? Maana sio kwa povu hilo. Narudia tena watu wameshaanza kuitwa kazini kwa awamu...we ukibisha wala sikushikii kiboko kukulazimisha
Wanaita kurudi kazini lakini kwa makundi makundi serikali haina pesa kuruhusu watu wote waingie kazini kwa wakati mmoja.Hivyo kuweni na subira ndugu zanguni
Mkuu utakuwa umeathirika kisaikolojia.Fanya hivi vitu viwili kwa kuanzia.Kwanza Muombe Mungu kwa kumaanisha akuondoe katika hiyo hali.Pili waone wataalam wa saikolojia watakusaidia mno.Pole sana mkuu Mungu akakusaidie asee ni mbaya sana hiyo kitu
Asante mkuu kuna mdau pia alinijibu kuwa washaitwa oral LAPF.Yaani hivi vitu vinaumiza sana ila tuendelee kutuma maombi sehemu zingine.WCF nao sijui wananini tu hawasikiki kabsa
Unamaanisha zile tulizoomba february, 2017?na je waliita position gani interview na waliita kwa njia ipi?walipiga simu,meseji ama walitundika majina kwenye web yao maana sina habari kama wameita mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.