KAULI ya mwanasiasa wa zamani Kingunge Ngombale-Mwiru dhidi ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye kuhusu maamuzi ya vikao ndani ya chama hicho, imeibua mjadala kutoka kwa wajumbe wa vikao hivyo wanaohoji anachokitetea mzee huyo.
Wakizungumza na FikraPevu kwa...
Naona mnaocomment mnajifanya great thnkers but truth is wote mamburulaz le akili ndogos wa kufuata mkumbo. Mnajudge entire career ya mtu kwa statement tano.
Hivi hamjui chama ndiyo kina sera na sio mgombea. So hao wengine wanaoongea mnavyodhani vya maana ndiyo hawana kitu kwa sababu mwisho wa...
Nafanya kazi coastal na tunakodisha ndege, kale kandege anakotumia jamaa ni kadogo ka watu nane, kukodisha kale ni dollar elfu moja,siyo hela ya kushangaza. Wabongo ushamba umetuganda tukisikia ndege tu basi tunaona dili. Yani kale ni kabajaji.
Hata msimpe kiki huyo membe.
Lowassa alimlipa dogo diamondi milioni 100 kuwachezea wamasai ngololo,sasa masai na ngololo wapi na wapi.hizo hela si angeeda kujitibia ili kama kumchagua rais tujue ni mkataba siyo atuingize gharama za kurudia uchaguzi tena 2017
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.