Recent content by satadei mandei

  1. satadei mandei

    Mchungaji amuua mkewe naye kujiua wakati Ibada ikiendelea

    Mhubiri amuua mkewe wakati wa ibada JUMAPILI, 5TH JAN , 2020 Mhubiri Elisha Misiko wa kanisa la Ground for Jesus, lililoko mjini Mombasa nchini Kenya, amemuua mke wake kwa kumchoma na kisu na kisha yeye kujikata koo lake na kufariki papo hapo, wakati wa ibada ya Jumapili ikiendelea kanisani...
  2. satadei mandei

    Kuhusu Marioo...

    Ni kweli kabisa kwa sasa hakuna msanii anayeweza kuzima moto wa Marioo na mwaka 2020 Mtaona dogo anavyofumua madude
  3. satadei mandei

    Siku ya kutahiriwa

    Maneno ya mkosaji........ Iwe ganzi au bila ganzi ili mradi lengo limetimia........ Sema ka -ganzi kalitisha.
  4. satadei mandei

    Kuhusu Marioo...

    Slowly, We jamaa sidhani kama unajua mziki, point zako ziko weak umeshindwa kuzifafanua, Hebu funguka vizuri ueleweke.
  5. satadei mandei

    Waongozaji wapya wa video wa kutazamwa mwaka 2019-2020

    hao ni waongozaji wapya hansacana tayari yupo kwenye game na yupo imara
  6. satadei mandei

    Waongozaji wapya wa video wa kutazamwa mwaka 2019-2020

    Kulingana na soko la muziki kukua bongo imechangia uwepo wa waongozaji wapya wa video za muziki kwa kasi. Mimi top 5 yangu ni hii 1.Director Flex 2.Dir KAJALA 3.DIR SNIPPER 4.DIR JOMA 5.DIR NGOTA
  7. satadei mandei

    Unavutiwa na video za directors gani wa muziki hapa Afrika?

    Marioo - Anyinya Future Jnl- Asante
  8. satadei mandei

    Unavutiwa na video za directors gani wa muziki hapa Afrika?

    kuna Direkta anaitwa Ez Brown huyo ndo anaweza kukalisha madairekta wote bongo hapa, fuatilia kazi zake, anakuja kwa kasi sana.
  9. satadei mandei

    Frankie Maston - Kipaji chenye utata Sampuli ya Wanaume wa Dar

    Huyu jamaa anajituma sana nimeanza kuangaia video zake nimemuelewa, bile vile yeye haupenda kuzaliwa hvyo
Back
Top Bottom