Ulifanikiwa kupata Kwa gharama gani?? Kuna mtu alikua anataka kujua gharama ya used or kamanitakua New pia aringanishe bei then achague
Sent from my Nokia 7.2 using JamiiForums mobile app
Kuna yule mwanamke na mumewe waliohukumiwa juzi kati kifungo cha maisha Kwa kesi ya madawa na hao waunganishwe basi na huyo mwanaume asiejulikana ni nani
Watu wa jamii forum bwana mda mwingine mnasoma post juu juu tu mnacomment kwakuwa lazima kila Uzi muonekane mpo si ndiyo...!? Mi sio Malaya na wala sijawahi jiuza hata kama tunatumia Fake ID heshima iwepo pia ,Sawa jua linawaka Ila tusiliendekeze wengine mnasema ooh hata nyuzi sijui sijakauka...
Wapendwa naombeni sijui ushauri au sijui niseme faraja mana hata sielewi mimi ni mdada umri 27 mwaka jana December nilifungua mtandao unaitwa Badoo huko ili nipate marafiki wa kuniliwa kama vile kuchat ikibidi kuonana sikuuchulia seriously Sana'a kwakuwa watu wengi niliobahatika kuchat nao...
Wapendwa nilisahau kwafamisha nna katoto kazuri ka kiume kesho kanatimiza miezi 4 ,Ila sasa udongo ndy nimekua addicted hapa nakazana kuomba huku nikila mmoja Kwa siku ili niache Mungu ni mwema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.