Natumai mumeshinda salama ndugu zangu, kama kichwa cha habari kinaposema naomba ushauri kwenye hili jambo:
Baada ya kuajiriwa kwa muda mrefu niliona nitafute njia ya kujiajiri basi nikapanga mwisho wa 2019 nitaacha kazi lakini mfanyakazi mwenzangu akaniambia nisaini tu mkataba alafu baadae...
Mkuu naona hujui unalolisema kwa7bu chuki wakristo wanaifanya kwa waislam ni zaidi ya wasraeli waliomfanyia Yesu. Inchi ngapi zakislam zimevamia inchi za kikristo? Kama majini ata waislamu wanayatoa labda hao wahuko kwenu ndio wanaokuja huko kanisani.Lakini Qur'an nzima inafukuza mapepo.
Mkuu utumishi wa serekali ni kwa umma kwahiyo mtu akifanya kitendo kama hicho niubaguzi wa halo ya juu ambacho kinaweza kuleta chuki badae uvunjifi wa amani katika inchi, na kama haja vunja sheria yeyote kumbuka kesi za uchochezi zipo pia kuna maadili ya kazi. Mtu kama wewe anaeandika vzuri...
You wrote like alearned person but the context of your statement exposes your ignorance in both you yourself and your family and funny enough your family, community and clan might be depending on you as their Wiseman of the century.
Mimi nafikiri kama mtumishi wa serekali kuna ethics za utumishi ukiachana na hizo sheria wenzetu wanazo ulizia, lakini pia nikitendo cha uchochezi nakusababisha uvunjifu wa amani inchini kwahiyo anasitahili kuchukilia hatua pamoja na futwa kazi.
.Nawewe unaweza jaribu, mbona nyote mumetoka kwenye mti mmoja mnafundishwa chuki badala ya kuelewa biblia
kumbe hii ndio elimu ya kwenda shule lakini sio kuelimika!
Mkuu japokuwa hajuani lakini unatakiwa ujue kwamba kuna sheria na kuna order, sheria atakama haipo haiwezekani mtu ana hatarisha amani ya inchi alafu unazungumzia sheria. Ebu sema hapa wapi umewahi kuona waislam wanachana bibilia? Kama ameweza kuchana Qur'an manaake ata kuua anaweza na kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.