Habari wanajamvi,
Kwa taarifa zilizopo ni kwamba tume ya taifa ya uchaguzi imetangaza nafasi iliyopo wazi ya viti maalum kwa chama cha CHADEMA.
Kwa maelekezo ya Mwenyekiti wa Tume nafasi hiyo itajazwa kufuatana na matakwa ya katiba na sheria ya taifa ya uchaguzi.
Wadau wa JF Kama inavyodaiwa kuwa viongozi wa juu UKAWA wako kwenye mikakati na mazungumzo ya kuachiana majimbo ya uchaguzi kwa ajili yaa kusimamisha mgombea mmoja wa UKAWA katika kila jimbo, sasa swali linakuja je, watatumia mbinu gani kugawana nafasi za viti maalum ikizingatia kuwa viti...
BAADA YA KUGAWANA MAJIMBO VITI MAALUM JE?
Wadau wa JF naomba kujuzwa jamani kama tunavyosikia viongozi wa UKAWA wapo kwenye kujadili namna bora ya kugawana majimbo ambalo ni jambo jema. Sasa swali linakuja je umoja huu utatumia mbinu gani kugawana nafasi za viti maalum hapo baadae?
Kwani ni uongo tuache kupindisha maneno. Hayo makabila kiukweli yana tabia ya roho mbaya iliyopitiliza, choyo, umimi, kujiona tu wao ndio wanastahili na huo ndio ukweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.