Recent content by Saragana

  1. Saragana

    Polisi Dar wakamata majambazi hatari sita

    Wakiwezeshwa wanaweza.
  2. Saragana

    Mapenzi Vyuo vikuu: Asilimia kubwa ya wanaume wenye Geto zetu hatusumbuki, Wadada wanakuja wenyewe

    Afu mkiwa mnasoma yupo na min sa akikaa ndo kinapanda yaani mapaja yote nje,, hapo rijali ni udenda tu,,pindi halipandi jek limesimama utazan kuna breakdown. Kifuatacho madesa kule then mmmmm...... kavu kavu ndo kwa sana. Way forward: tujaze kondom magetoni then tuzitumie maana hawa wadada...
  3. Saragana

    Maskini mke wangu

    Usiwe na wivu. Kama una tabia ya kuchepuka lazima umuwazie mabaya mwenzio.
  4. Saragana

    Ananitaka ila mi simtaki kabisa

    wana JF, Habari. Kuna dada mmoja ananitamani sana hapa mtaani kwetu yaani mpaka kero, mi sijaoa eti kila siku ananitania eti nimuoe na mimi sitaki maana nina mchumba wangu yupo chuo saivi. Nifanyeje ili nimkimbie? asinizoee kabisa? Nawasilisha.
  5. Saragana

    Raha ya tendo

    Raha ni kupiga bao, mengine mbwembwe tu.
  6. Saragana

    Haya ndiyo maisha ya tembo

    Nashukuru sana mdau kwa uzi huu. Mimi kwa ujumla ndo fani yangu niliyosomea i.e Utalii, so wakiisha no job. dah walaaniwe majangiri wote wa rasilimali zetu za nchi hii, baba wa taifa alituachia.
  7. Saragana

    Askofu Ashutumiwa kubaka huko Mwanza

    Umefanya uchunguzi wa kina au ndo unatuletea tukupa data?
Back
Top Bottom