Recent content by sapiwi

  1. sapiwi

    Ukawa ni umoja wa viongozi

    Acha uongo kiongozi,uchaguzi wa serikali za mitaa ukawa walisimamisha mgombea mmoja. ACHA UPOTOSHAJI
  2. sapiwi

    Mwenyekiti BAVICHA Patrobass Katambi Naanza Kupoteza Imani Kwako!

    Hizo ni ajenda za ccm za kuwatuma wanacdm au ccm wenyewe kuvuruga uongozi wa cdm. Binafsi namkubali sana kamanda Patrobas kwani hata wiki hii nimemshuhudia mwenyewe alivyoshiriki kwenye ziara ya mkt taifa na katibu mkuu eneo la kata ya mwakata kahama.Lakini pia wk hii hii amekuwa na ziara na...
  3. sapiwi

    Dr. Slaa akabidhi msaada wa CHADEMA kwa waathirika Kahama

    Mungu ibariki CHADEMA.
  4. sapiwi

    Vijana elfu tano waendelea na matembezi kuenzi miaka 51 ya Mapinduzi matukufu ya Zanzibar

    Unajua ccm hawatumii akili,wanapolianzisha hivi wajue kuwa hata wale wasiounga mkono katiba wataendesha nao maandamano. Ikifika hapo itaona wanaanza kuwapiga mabomu. Amani ya nchi hii itavunjwa na maccm.
  5. sapiwi

    Uchaguzi S/Mitaa: CHADEMA ilivyoongoza UKAWA kusambaratisha CCM kabla na baada ya Mapingamizi

    Huu ni uchambuzi makini uliofanywa baada ya kujumuisha nafasi zote zilizoshindaniwa na ambazo wagombea kadhaa wa UKAWA hususan Chadema waliondolewa.Kwa uchambuzi huu ni wazi UKAWA walipata ushindi wavkujivunia. Uchambuzi huu una vipengele 6 kama Ifuatavyo: 1. Wakati wa uteuzi wa wagombea...
  6. sapiwi

    Kesi ya CHADEMA kuzuia Uchaguzi Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji, Hakimu amejitoa

    Niko mahakami. Hakimu ndo anaanza kusima ruling
  7. sapiwi

    Kesi ya CHADEMA kuzuia Uchaguzi Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji, Hakimu amejitoa

    Watu wamejaa wanasubiri maamuzi ya mahakama ila kinachoonekana hakimu tayari keshapewa maelekezo na maccm. Yaani huwezi amini mkurugenzi wa wilaya ambaye ndo chanzo cha yote haya amemkaba wakili wa maccm na hakimu
  8. sapiwi

    Musoma mjini wabadili mbinu za maandamano

    MUSOMA MJINI WABADILI MBINU ZA MAANDAMANO SASA POLISI NDO WAANZA KUANDAMANA. Baada ya polisi kuomba kuongezewa nguvu za askari kutoka kanda maalum ya Tarime na Ryorya na askari hao kuingia mjini Musoma. Viongozi na wanachama walibadili mbinu za maandamano kwa kutoka katikati ya mji na kwenda...
  9. sapiwi

    CHADEMA fundraising Itilima

    Makamanda ABINGE HE NGUZU. Napenda kuwaomba na kuwakumbusha kuhudhuria sherehe ya harambee ya kuchangia Chadema ndani ya mkoa mpya wa Simiyu kwenye wilaya mpya ya Itilima itafanyika tarehe 28 mwezi huu katika ukumbi wa Bariadi Motel kuanzia saa nne asb. Sherehe hiyo itaambatana na uzinduzi wa...
  10. sapiwi

    MBOWE mnatuharibia chama, chama kinazidi kupotea

    mayange usitake kujipa ujiko usiokuhusu,lugha yako tu inaonyesha kuwa wewe ni gamba halafu unajidai kuwa unauchungu sana na cdm. Tulia dawa ipenye na mwaka huu mnalo.
  11. sapiwi

    IPTL Saga: Serikali yamtaka Balozi wa Uingereza kuripoti Wizara ya Mambo ya Nje, Yatishia kumtimua

    Wana jf msipuuze na wala msidharau kwa serikali ya ccm kutaka kumtimua balozi wa uingereza na wala msishangae kuona anahamishwa kutoka tz. Ninachoelewa ni kuwa nchi za ulaya zinapenda sana UJUHA wa ccm,maake hiki ni chama pekee duniani kinachoweza kuachia rasilimali yake ikachotwa kijinga namna...
  12. sapiwi

    Mwigulu Nchemba avuliwa skafu na Spika!

    nionavyo mimi ni kutafuta misifa tu,hakuna cha uzalendo wala nini.
Back
Top Bottom