Recent content by sapatrade

  1. S

    JamiiForums Tanzania Kwanini TRC wanasisitiza NIDA kukata tiketi za SGR?

    Wakuu poleni na majukumu ya kujitafutia kipato,mimi swali langu ni kwa wahusika wa TRC (SGR)hivi ni kwa nini mtu akitaka kukata tiketi kwa ajili ya train ya sgr mnamtaka lazima awe na kitambulisho tena cha Nida naomba kufahamishwa,na je ingetokea nini kama tungekuwa tunakatiwa ticket bila hiyo...
  2. S

    JamiiForums Tanzania Viwanda vya kuunda mabasi vilazimishwe kuzalishia mabasi Tanzania

    Baba wa Taifa Mwl JK,Nyerere(RIP)alijenga viwanda vingi sana nchi hii viliishia wapi? Tuanzie hapo kwanza.
  3. S

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Nissan X-Trail

    Fungua App ya JIJI utakuta nissan zimejaa hapo
  4. S

    JamiiForums Tanzania Msaada: Main Switch inajizima yenyewe

    Zima kila kitu chomoa kila kitu kilichochomekwa kwenye sockets halafu washa kimoja kimoja utagundua kinachosababisha kutrip then unaacha kukiwasha na kuita fundi
  5. S

    JamiiForums Tanzania Serikali kukopa Fedha NMB kwaajili ya kununua Mabasi 100 ya Mwendokasi

    Serikali haijawahi kufanya biashara kwa ufanisi, Hayo mabasi hata yakiletwa elfu 10 yatafanyiwa ufisadi mpaka kampuni itakufa, rejea zilivyokufa kampuni za magari za mikoa kwa nini msiwaachie sekta binafsi? Kwa kweli viongozi wetu mnakera sana kwa sababu mwisho wa siku tutakaolipa haya madeni ni...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Simtetei Dr. Nawanda, ila binti anaweza kuwa ni tatizo?

    Rc kuna ahadi hakutekeleza mbona wa dizaini hii mkikubaliana hawanaga shida kabisa daaaah
  7. S

    JamiiForums Tanzania Kafulila: Polisi Tanzania kuanza kutumia mashine maalumu za ki-electronic kupima uzima wa magari nchi nzima bila kutumia pesa ya Serikali

    Hakuna mwekezaji anakuja kuweka hela yake hapa bure ni lazima tutalipa tu kwa namna yoyote ile tusidanganyane
  8. S

    JamiiForums Tanzania Dr Mwigullu: Ujenzi wa SGR unaiingiza Tanzania kwenye Nchi 5 Duniani zenye reli ndefu kama ambavyo Bwawa la Nyerere linavyotamba Africa!

    Ashushe bei ya umeme kwanza ndiyo ataeleweka vinginevyo haya yote ni mapambio ambayo hayana maana yoyote
  9. S

    JamiiForums Tanzania Mei Mosi Kitaifa jijini Arusha na vioja vyake

    Umenifanya nicheke kwa sauti hiyo paragraph ya mwisho,,
  10. S

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Gairo, Shabiby ataka fedha za bima kwa wote zikatwe kwenye laini za simu

    Serikali haishindwi kutenga fedha kwa ajili ya bima ya afya kwa wote na pia bima ya afya nao wanakusanya fedha nyingi sana tatizo la nchi hii ufisadi wa kutisha unaofanywa kwenye mfuko wa bima hata wananchi tukitoa 10000 kila mtu bado fedha haitatosha mwarobaini hapa ni KATIBA MPYA kila kitu...
Back
Top Bottom