Recent content by Sanoyet

  1. Sanoyet

    Nchi ipo salama

    mbona unatulisha vumbi la upepo, ni nini hicho??,hebu fafanua basi!!!
  2. Sanoyet

    Wabunge wa Upinzani Kuanza Vikao vya Kutafuta Suluhu na Naibu Spika

    ni jambo la kheri!! 'force creates enemity' and "pressure creates resistance``
  3. Sanoyet

    Kauli za viongozi wa Tanzania zenye utata!

    hivi nifanyeje ili niwe fala????
  4. Sanoyet

    Tetesi: Prof. Lipumba kuhamia ACT Wazalendo muda wowote

    Vyovyote Itavyokuwa sawa tuu,sisi wafuata upepo tuko tayari kuwasupport kwa shangwe,mori na mahaba!!!
  5. Sanoyet

    Naibu Waziri wa TAMISEMI Suleiman Jaffo apata ajali

    awe makini sana na timu yake!!!
  6. Sanoyet

    Tumtumie mama Janeth Magufuli

    yahitajika akili ya kitoto zaidi kumsemea/kumshtaki baba kwa mama(wapi dogo aslay??)!!!
  7. Sanoyet

    Ukistaajabu ya Mtatiro, utayaona ya Ben Saanane

    yataka moyo wa ziada na akili tofauti na hii alopewa mwanadamu, kusifia jambo la kipuumbaavu na kupuuza jambo la maana!!
  8. Sanoyet

    ACT Wazalendo tumaini la mabadiliko miaka 25 ijayo

    kwa akili aina hii,mawazo aina hii,tafakuri aina hii,mitazamo aina hii,vision aina hii na watu aina hii; Yesu ataporudi ataikuta ccm bado imetamalaki!!
  9. Sanoyet

    Kwa Mlinganisho huu wa Meli, Bandari ya Dar kuna giza nene

    lkn kila mwezi tunavuka malengo ktk makusanyo,so worry not!!!
  10. Sanoyet

    Hii inatuhusu sana Vijana wanaotumia mitandao ya kijamii

    ushabiki wa kijinga ktk siasa,kujipendekeza,wivu,uonevu,visasi,kupendeleana,ukada wa kijinga wa vyama,uoga,vitisho,etc. ndo visababishi!!
  11. Sanoyet

    Mauaji ya Aneth Msuya: Mfanyabiashara Revo Evarist afikishwa Mahakamani Kisutu

    Hizi pesa Hizi pesa Hizi pesa Hizi pesa Hizi pesa!!!
  12. Sanoyet

    Uliwahi kufanyiwa "interview" ya kazi na watu unaowazidi uwezo?

    Kuna Interview Moja Nilishiriki,ile naingia tu kwa interview room,nakutana na jamaa tulimaliza nae o-level na alipataga div-0 <> mimi div-1,halafu ndie interviwer na ni HR organ hiyo,lol! jama alishtuka sana kuniona, na mimi nikaamua kuwa mkavu kama simfahamu vile,ila nikashangaa jamaa...
  13. Sanoyet

    Mfanya biashara wa kutembeza nguo za mitumba Morogoro akutwa akiwa amekufa chini ya mti

    something or somebody may have been behind his death!!! Any way,,,let his soul rest in a perfect paradise!!!
  14. Sanoyet

    Tanzania ya Viwanda itakuwa kama hivii!

    Tatizo hawa jamaa hawatuelezi nini kilisababisha viwanda vyetu na masoko yetu ya awali yakafa ili tujipange kujilinda na maanguko hayo ya uchumi wetu yasijirudie,,,,, Any Way,since Politics Is Power,twendeni tu hivyo hivyo mbele kwa mbele maisha mazuri hayataki haraka!!
  15. Sanoyet

    Principles of science and mathematics pale zinapotumika katika maisha ya kila mara

    Life has no specific formula!! Unaweza Kupanda Mema Ukavuna Mabaya, Na Unaweza Panda Mabaya Ukavuna Mema ; Usikariri!!
Back
Top Bottom