mawazili wa sasa ni la kulinda masilahi ya chama zaidi, hilo si tatizo sana kinachuma ni jinsi wazivyo urma hata kidogo sisi tulio na mahangaiko, mateso, taabu na machukizo kila kukicha. ipo siku haya yatakuwa historia tena kwa nguvu. HII NI MIAKA 50 BAADA YA UHURU
Ukweli ni kwamba hata wafanye vipi mwisho wa siku kilakitu kitakuwa wazi, itajulikana kuwa nani yuko nyuma ccm na nani ni mpinzani wa kweli. Mwenye nia njema na mapenzi mema na tz.
Lakini wakumbuke mwisho wao unakuja na tena ni karibu sana, hawatakuwa upande wa ccm wara cdm au cuf.
Siku ambayo kila kilicho cha uma kitakuwa kwa ajili ya uma, SIKU HIYO TUNAINGOJA SANA
Lakini wakumbuke mwisho wao unakuja na tena ni karibu sana, hawatakuwa upande wa ccm wara cdm au cuf.
Siku ambayo kila kilicho cha uma kitakuwa kwa ajili ya uma, :israel:
Ndugu mtukufu raisi wa Jamuhuri ya Tanganyika,
Kampeni za kukuondoa madarakani zilifanyika mwishoni mwa mwaka jana, lakini haikuwezekana na tulikubali kuwa tumeshindwa sasa hofu yako nini?
Kinachofanyika ni kazi za chama na si vinginevyo na wala usihofu.
Huku tuliko hatuna hata kisu wala rungu...
Mama kilango siyo mpiganaji, kwa nilijua hayo wakati wamijadala ya bungeni.
Hajawahi kuiprement issue yoyote zaidi ya kuchangia ya wenzake.
Na mara kwa mara ni ile inayo husu makosa furani.
Sema tu anauwezowa kutoa sauti au kupanua midomo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.