kwa kweli hata namshangaa huyu jamaa aliyeleta hii mada ya kipuuzi humu coz anataka wanawote tuonekane tunapenda dezo, mi nina mashaka na owezo wa kufikiri wa huyu msela
watu wote wanaowakejeli hao wanafunzi nina mashaka kuwa hawajapitia huko hivi kabla hujaandika nonsense zako huku fikiria maisha ya ya chuo bila hela then bodi ya mikopo ni hadi uende mwenyewe ndio watakuwa serious otherwise utakaa mwaka mzima bila pesa, acheni kuwa na mawazo mgando kiasi hicho
Pole sana dadangu coz ndio mapenzi yalivyo lakini ni sisi wenyewe ndio tumeyaharibu kwa tamaa zetu cha kukushauri tu ni kwamba muombe Mungu sana juu ya suala lako hilo akupe uvumilivu na hekima na busara kabla ya kuchukua maamuzi yeyote coz ukiongelea swala la sumu ndio utampa nguvu shetani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.