Habari Wadau,
Sisi tunajihusisha na ushonaji wa nguo za aina zote kwanza,
Nguo za Harusi ( Suti na Magauni)
Uniform za Maoffisi na Mashuleni
Mishono ya Vitenge
Casual Wear etc
Karibuni Ofisi zetu zipo kinondoni Manyanya opposite na American Chips. Mawasiliano 0737610682
💥UNGEPENDA KUJIFUNZA KUSHONA?! HII NI NAFSI YAKO..💥
⚫JE, umemaliza darasa la saba, form 4 au form 6 umekaa nyumbani bila mwelekeo au umeajiriwa lakini unatamani kujifunza kushona iliupate side hustle ujiongezee kipato? Karibu uweze kujiunga na darasa letu la ushonaji @angelic_threadstz ili...
Fundi Nguo anahitajika haraka, awe Ana uwezo wakushona mitindo ya kisasa hasa ya wanawake, mchapakazi mbunifu na mwenyekujituma. Awe na ujuzi wa miaka 3 na ziadi, Mkazi wa Dar..Piga namba hii 0737610682
Fundi nguo anahitajika
Awe na miaka 24 - 38
Awe na uzoefu usiopungua miaka 3
Awe anajua kushona nguo za kike vizuri
Awe Mchapakazi, Muaminifu na Mtafutaji
Ofisi ipo Dar Kinondoni Studio wasiliana na namba 0737 610 682.
Similar threads
Natafuta fundi wa kushona nguo
Fundi nguo...
Fundi nguo anahitajika
Awe na miaka 24 - 38
Awe na uzoefu usiopungua miaka 3
Awe anajua kushona nguo za kike vizuri
Awe Mchapakazi, Muaminifu na Mtafutaji
Ofisi ipo Dar Kinondoni Studio wasiliana na namba 0737 610 682.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.