naomba msaada, nimelipa pesa HESLB Kwa m-pesa, cha ajabu mpaka sasa hv hawajarudisha message yenye ID itakayonisaidia kuomba mkopo kuingia online. wamerudisha message ya malipo tuu. nifanyeje naomba ushauri wenu. ahsante
hakuna ajira za walimu wa sanaa na biashara kwa mwaka 2015/2016. kwa wale tunaotegemea kufanaya UE mwezi ujao, kiinua mgongo tutakacho pata mwezi huu tukitumie vizuri maana kitakusaidia kufanya business, then pesa ya vocha hutakuwa unaikosa mkuu. huo ndio ushauri wangu
Natafuta kazi yoyote.
Taaluma yangu ni mwalimu wa shahada ya kwanza masomo ya Economics, mathematics na geography. nina umri wa miaka 26 Mtanzania na ninaishi Morogoro, nina uzoefu wa miaka miwili.
Ahsante.
Contact: 0766507383
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.