Recent content by sangu mnene

  1. S

    Je, RC Chalamila alilenga kumaanisha serikali "imesusa" kupeleka maendeleo Mbeya Mjini? Mbona serikali inakusanya kodi?

    Huenda kitenda cha Mkuu wa mkoa aliyepita kuwa busy na utatuzi wa matatizo ya wananchi, huku akisahau kukiendeleza chama, ndio sababu iliyomwondoa Mbeya. Mkuu wa Mkoa na Mkuu wa wilaya, ni wajumbe wa kamati za siasa za maeneo yao, hivyo chama kudorola katika eneo lako ni udhaifu wa RC. Huyu...
  2. S

    Hawa ndio wanyama 10 wenye akili duniani

    Nahisi kama kuna wanyama wenye akili kuliko hao waliotajwa, mfano 1. Honey burger 2. Tai 3. Chui Naona wanyama hao pamoja na mfalme wao Simba, hutumia akili sana kuliko hata Tembo na Nguluwe. Wakati Fulani nahisi kama Paka ana akili kuliko mbwa
  3. S

    Kwa hili, bodi ya mikopo (HESLB) ingefanya mabadiliko

    Huu ni wakati wa wanafunzi kuomba mkopo bodi ya mikopo. Adha inawakuta zaidi wazazi au wanafunzi wanaoomba mkopo kwa mala ya kwanza. Bodi imesisitiza, ukikosea kujaza fomu , basi mkopo hupati. Ili kujiepusha na kufanya kosa, wazazi wengi wanaoishi Dar es Salaam, wamekuwa wakienda ofisi kuu za...
  4. S

    Makala: Nyerere asiwagombeza Maaskofu-Haishangazi Kardinali Pengo Kujiuzulu-01

    Duuuh, hii imenichanganya kidogo! Kwahiyo waroma wanafundishwa siasa? Mbona mashekh wakifundisha waumini wao siasa wanaitwa magaidi? Ina maana yale madai kuwa nchi hii inaongozwa na mfumo katoliki yanaweza kuwa na ukweli fulani! maana muda sasa waislamu walioitwa wenye siasa kali wamekuwa...
  5. S

    Askofu Bagonza akosoa kauli ya 'Aliyepewa mimba asirudi', ahoji makosa ya viongozi yangekuwa mimba, wangekuwa na ngapi?

    Sidhani kama alichoongea baba askofu ni sahihi. Shule ni sehemu ambayo wanafunzi hufundishwa kuwa katika dunia hii kuna sheria, na ukikiuka sheria kuna adhabu. ndio maana hata mtoto wa chekechea hupewa adhabu kulingana na kosa alilotenda na umri wake. Tukianza kuleta siasa au dini shuleni...
  6. S

    PENDEKEZO: Nani anafaa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, tuone Hapa kazi tu kwa vitendo?

    Kwa kuwa muda wa kustaafu generali Mwamunyange umekaribia, namshauri mheshimiwa rais asimteue waziri wa mambo ya ndani, akishastaafu tu, amteue ubunge mheshimiwa Mwamunyange, halafu amkabidhi hiyo wizara awanyooshe watu
  7. S

    Zile TZS trilioni 1.3 za mapato zimeyeyukia wapi? Nani abebeshwe mzigo?

    Kama kweli serikali imeweza kutoa mapato yake ya December, basi tunashuhudia mabadiliko ya kasi ya ajabu, mwezi umeisha alhamisi,ijumaa sikukuu,sasa hiyo figure imetolewa lini? kumbuka mtoa mada kapost hii mada jumapili, naamini huyu mtu ni mwongo. Nashauri serikali ifuatilie,kama itaonekana...
  8. S

    Ushauri wa bure kwa Dr Mwakyembe, achana kabisa na katiba mpya

    Naomba nianze kwa kuomba msamaha kwa atakayekwazika na haya nitakayosema. Mtu mmoja toka Mbeya aliniambia kuwa kuna aina mbili ya wanyakyusa,wale wa Tukuyu na wa Kyela. Wanyakyusa wa Kyela hujiamini,wana asili ya kiburi na wana misimamo isiyoyumba. Ni vigumu mno kumbadilisha msimamo mtu wa...
  9. S

    Ushauri wa bure kwa Dr Mwakyembe, achana kabisa na katiba mpya

    Nimelazimika kuwaza tena suala la katiba pendekezwa baada ya Warioba kudai ataongea mchakato ukianza source Mwanainchi-27/12/2015. Sijui anachowaza Dr Mwakyembe, kama anataka kuandika katiba mpya kwa kuanzia pale ilipoishia kamati ya jaji Warioba ni vema na ni haki,aendelee kwa amani...
  10. S

    Rais Magufuli akamilisha uteuzi wa Baraza la Mawaziri, Makame Mbarawa abadilishiwa Wizara

    Napenda kuchukua nafasi hii kumpongeza Dr John Pombe Magufuli kwa kumteua mmoja wa akina mama shujaa TZ, mama jembe, asiyeyumba na mchapakazi wa daraja la juu Dr Joyce Ndalichako. Ili taifa liweze kufaidika na kalama ya kipekee aliyojaliwa huyu mama, inabidi baadhi ya kazi za TAMISEMI-ELIMU...
  11. S

    Wana CCM nisaidieni majibu ninaposafiri kwenda Ulaya-Wana UKAWA msinitukane ninapopewa majibu

    Unajua ukiona mtu anaisifia mvua jua imemyea. Katika toleo la Times la April,mwaka 2014, lilibaini ongezeko la mashoga toka Afrika wanaokwenda ulaya.Walishauri nchi za Afrika ziruhusu ushoga ili wanaume wazungu wawafuate wake zao wa kiume Afrika.Awali niliona hoja hiyo si ya kweli. Lakini huyu...
  12. S

    Wana CCM nisaidieni majibu ninaposafiri kwenda Ulaya-Wana UKAWA msinitukane ninapopewa majibu

    Taifa linaloongoza kwa uchumi wake kukua kwa kasi ni China. Kwa sasa hivi Tanzania bidhaa nyingi tunazotumia zinatoka China si ulaya. China haijawahi badilisha chama tawala, walichofanya China ni mabadiliko yaliyoongozwa na chama tawala, sasa uchumi wake ni tishio duniani.Watakapojaribu tena...
  13. S

    Wana CCM nisaidieni majibu ninaposafiri kwenda Ulaya-Wana UKAWA msinitukane ninapopewa majibu

    Nafikiri tatizo unalo wewe mleta mada, ama unaongea uongo,au umeshindwa kuikosoa CCM,ukaona uigize. Watanzania si mambumbumbu,wewe unaweza kuwa mbumbumbu,watanzania wanastahili pongezi kwelikweli kwakuwa Wamekataa kuchagua vyama vilivyojengwa kwa misingi ya ukanda, ukabila ndio ulioleta...
  14. S

    Kitengo cha USAB-Kinara wa rushwa UDSM

    Waswahili husema, mtoto umleavyo ndivyo akuavyo. Maadili yamekuwa yakishuka kwa kiwango cha kutisha miongoni mwa wahitimu wa chuo kikuu bora kabisa Afrika mashariki na kati UDSM. Wahitimu wa chuo kikuu cha DSM ni wazuri sana kielimu lakini miaka ya karibuni wamakuwa na tamaa iliyokithiri ya...
  15. S

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Moja ya sifa kuu ya rais Magufuli, ni hatua alizochukua kubana matumizi. Hatua alizochukua zimewavutia watu ndani na nje ya nchi, hatua kama, kupunguza safari za nje, kuzuia vikao kufanyika hotelini, kupunguza posho, kufuta sherehe za uhuru, kukataa semina elekezi,vikao kuandaliwa kwa bajeti...
Back
Top Bottom