Recent content by Sangoma

  1. Sangoma

    Natafuta mshirika wa kuanzisha biashara Mwanza pekee

    Kijana tena 40 sema wewe ni Mtanzania mwenye umri wa miaka 40 uko mwanza sehemu gani
  2. Sangoma

    Vodacom Router Bei Nafuu

    Mi natumia hii ya 4G inakaa na charge masaa 9
  3. Sangoma

    Roho inaniuma sana, mabati niliyoezekea nyumba yangu yamepauka sana

    Kuna jamaa wa kiwandani kwenu mwanza kaniambia bei 26,000 ila 25,000 nachukua
  4. Sangoma

    Roho inaniuma sana, mabati niliyoezekea nyumba yangu yamepauka sana

    Vipi kuhusu ubora na kupauka kupoteza rangi kwa haraka
  5. Sangoma

    Machimbo mazuri ya kupata bidhaa mbalimbali Kariakoo kwa bei nafuu

    Msaada wa kupata chimbo la hizi miwani za rayban kwa bei jumla
  6. Sangoma

    TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

    Vodacom supa kasi huduma ya 115,000 kwa mwezi
  7. Sangoma

    Machimbo mazuri ya kupata bidhaa mbalimbali Kariakoo kwa bei nafuu

    Nielekeze na mimi pakupata kiti kama ivhi kwa bei poa namba 0757978499
  8. Sangoma

    Uzi wa bidhaa used tu, kwa bei nafuu

    Mi nahitaji kiti kama icho mwenye nacho aje tuyajenge namba 0757978499
  9. Sangoma

    Napenda kujua taratibu za kuagiza simu China

    Tujibu basi hayo machimbo ya refublished na sisi tupitie tuone tunaweza kufanya lolote ili mkono uende kinywani
Back
Top Bottom