Recent content by sangoa jr

  1. sangoa jr

    Magufuli fukuza watumishi wote. Ajiri upya na kuweka KPI kama staff wa Big 4 proffessional firms

    Mkuu kumbe wewe ni kundi moja na UB40 tupe ngoma mpya au mmshakuwa Yamoto band
  2. sangoa jr

    Rais Magufuli: Sitaongeza mishahara kwa Watumishi wa Umma mpaka uzalishaji uongezeke

    Hivi pale mtu mmoja mwenye akili anapoongoza wapumbavu mil 40 changanya na vilaza 1800 huyo kiongoz yeye atakuwa nani? Chanzo:Lost and found
  3. sangoa jr

    Mume kama huyu je ni Mume bora

    Kwani hujui mume bora anapatikana CRDB?
  4. sangoa jr

    Haki za kisheria za Ruge Mutahaba wa Clouds ni zipi baada ya kurekodiwa akilia kwenye simu?

    Duh kumbe huyu jamaa nilikuwa namwona mjanja kumbe kaa mchele maharage tuu
  5. sangoa jr

    DAR: Mbunge wa Mikumi Joseph Haule (Proffesor Jay) CHADEMA,avunjiwa nyumba yake

    We ndo utakuwa kiongozi wa hayo mashetani paka shume mkubwa ukionyeshwa Tanzania mpya utaijua kenge wewe laana khum son**** a bitch!! Pole sana kamanda ndiyo mitihani ya maisha [emoji24]
  6. sangoa jr

    Hivi hizi ndizo Magufuli kaita "Nyumba" za Polisi kweli, bila hata aibu?

    [emoji854][emoji854][emoji854][emoji854]
  7. sangoa jr

    Mchungaji Msigwa afikishwa mahakamani kwa madai ya kutishia kuua

    Ase kuanzia leo mi siyo afande tena ase wadau naombeni mnikumbushe hilo song aliimba nani vile
  8. sangoa jr

    Ufafanuzi wa kina juu ya (vyeti) elimu ya Makonda

    Kama ni usalama wa Gamboshi hapo nitakubali maana kule kuna serikali kama serikali nyingine [emoji83][emoji83][emoji83][emoji83][emoji83][emoji83][emoji83][emoji83]
  9. sangoa jr

    Ufafanuzi wa kina juu ya (vyeti) elimu ya Makonda

    Ase mtu akishachunga ng'ombe haziwezi kumwacha salama [emoji243][emoji243][emoji243][emoji243][emoji243][emoji243][emoji243][emoji243][emoji243]
  10. sangoa jr

    Laptop mpya ya kisasa ipo sokoni

    Dah mkuu nimeipenda ila niko mbali sana mkuu
Back
Top Bottom