Nape kavunja kanuni Adhabu ya onyo kali haitangazwi '' Ibara ya 8 Ibara ndogo 2 inaelezea Adhabu ya Onyo Kali kifungu C kinasema Adhabu hii haitatangazwa Hadharani.''
Kitabu cha Kanuni za Uongozi na Maadili toleo la Februari 2010,Ibara ya 8,ukurasa wa 26-32 ambayo inazungumzia adhabu! Ibara ya 8 kifungu cha 1-2 inatoa tafsiri na malengo ya Adhabu,Ambapo kifungu kidogo cha (i) inazungumzia ONYO ambalo atapewa Mwanachama aliyefanya Kosa lisilo na athari kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.