Recent content by Sangamwalogesha

  1. S

    Kijana Emmanuel aliyemwaga chozi akilalamika kuwa amesoma Electronic Engineering lakini hapati kazi leo amemtambulisha mke wake

    Vt vingine ni aibu, hao wote mateja hakuna cha electronics engineering, mwulizeni diode ni kt gani
  2. S

    Chivayo 'Mwizi wa Uchaguzi’ na ‘Kipenzi' cha wanasiasa Barani Afrika, ameshatia mkono na kwetu?

    Kwa hiyo Rais angemfukuza hadharani? Vt vingine ni kukosa hoja. Tabia binafsi ya mtu ni ngumu kuiingilia.
  3. S

    Tuongee ukweli, Abdallah Ulega hastahili kuwa Waziri wa Ujenzi

    Samia ni Rais mstaarabu, ana uwezo ila uswahili unamgharimu. Mawaziri km Abdallah Ulega, Makame Mbarawa kinachowabeba ni uislam na uzanzibari, Makame ni aibu kumwita waziri tena wa Uchukuzi. Ulega hakuna kitu pale, tena siku hizi ameanza arrogance, hii serikali inayokuja sijui itakuwaje. Ulega...
  4. S

    Mkuu wa Wanamtandao Rostam Azizi aweka mpira kwapani, Hajaonekana Azam TV kama ilivyotangazwa, kaogopa nini?

    Km kwl kakimbia amekosea sana ila km alipata udhuru basi ipangwe siku nyingine
  5. S

    MUHOOZI: KAGAME NA MUSEVENI NI MATAJIRI KULIKO ELONI MUSK HUYO ELON WENU NI MASIKINI KWA HAWA WAWILI

    Uliyeandika huu uzi ni fukara huna uwezo wa kujua hbr za matajiri
  6. S

    Polepole anahitaji msaada wa matibabu kuliko kumshangaa

    Kwanza alikuwa mtu mdg sana kumshauri mtu km Rais wa nchi na mwenyekiti wa CCM, Polepole alikuwa mpiga debe tu wa chama, hakuwa na access yyte na taarifa yyte nyeti, anacheza na akili za wapumbavu, kimsingi yeye mwenyewe anawadharau wanakubali utapeli wake. Mtu mwerevu akikuambia jambo la...
  7. S

    Swali chechefu: Sijawahi kumsikia Kadinali Rugambwa akitema cheche hata kiduchu tu. Kwani kuna shida?

    Km Km kuna cheche anaweza kutema akatemee kwa wafuasi wake. Cheche ndiyo nini, acheni uzwazwa
  8. S

    Swali chechefu: Sijawahi kumsikia Kadinali Rugambwa akitema cheche hata kiduchu tu. Kwani kuna shida?

    Cheche kwani ni mchawi? Ht hivyo askofu ukubwa wake ni kwa wafuasi wake siyo kwa nchi. Msijipe ukubwa msiokuwa nao. Ukuu wake ni kwa misukule yake kanisani kwake.
  9. S

    GE2025 Nasikiliza hotuba zake, hazina uhalisia

    We zombie huwezi kuelewa
  10. S

    Kwa Mara ya Tatu na ya mwisho; Naiomba Serikali imuachie Tundu Lissu Kabla ya Septemba 7

    Acha kutafuta umaarufu eti mara ya mwisho. Nenda mwambie jaji siyo umejificha humu km msukule
Back
Top Bottom