Samia ni Rais mstaarabu, ana uwezo ila uswahili unamgharimu. Mawaziri km Abdallah Ulega, Makame Mbarawa kinachowabeba ni uislam na uzanzibari, Makame ni aibu kumwita waziri tena wa Uchukuzi. Ulega hakuna kitu pale, tena siku hizi ameanza arrogance, hii serikali inayokuja sijui itakuwaje. Ulega...
Kwanza alikuwa mtu mdg sana kumshauri mtu km Rais wa nchi na mwenyekiti wa CCM, Polepole alikuwa mpiga debe tu wa chama, hakuwa na access yyte na taarifa yyte nyeti, anacheza na akili za wapumbavu, kimsingi yeye mwenyewe anawadharau wanakubali utapeli wake. Mtu mwerevu akikuambia jambo la...
Cheche kwani ni mchawi? Ht hivyo askofu ukubwa wake ni kwa wafuasi wake siyo kwa nchi. Msijipe ukubwa msiokuwa nao. Ukuu wake ni kwa misukule yake kanisani kwake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.