Recent content by Sangamwalogesha

  1. S

    JamiiForums Tanzania Nimepewa unabii: Kutakuwa na vifo vya wanafamilia wa Utawala huu

    We mpumbavu kwa kuwa mume wa Rais amefariki unatafutia kiki? Jinga kabisa Mungu gani aongee na mpuuzi km wewe
  2. S

    JamiiForums Tanzania Mzee Warioba aanguka Jukwaani!

    Apumzike tu umri umeenda hii dunia wote tunapita.
  3. S

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

    Mzee poa sana hakutaka makuu, Mungu huinua awatakaye, mwenyenzi Mungu amlaze mahala pema peponi. Ndiyo ilikuwa muda wa kula maisha ila ndiyo hivyo duniani siyo kwetu!
  4. S

    JamiiForums Tanzania Umoja wa Mataifa (UN) wapiga kura kupitisha ramani mpya ya dunia ili kuonyesha ukubwa halisi wa Afrika

    Kweli nchi yetu Mjerumani alicheza mchezo mkali ukiangalia tu ramani ya Africa unajua iko wapi, imezungukwa na maziwa makubwa matatu; Victoria, Tanganyika na Nyasa.
  5. S

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Wafanyakazi Chuo Kikuu Makumira tunateseka, hatujalipwa mshahara wa Agosti, haturuhusiwi kuomba mkopo benki

    Ila wakinga wana roho ngùmu sana km anaweza kumtoa mtoto wake wa kumzaa kafara ili apate madaraka au mali atawajali wafanyakazi? Km mnaweza mkamloge, au tafuteni semi mvizieni akitoka na kigari chake mkamalize watu wenye roho mbaya km hao dawa yao ilikuwa kuwatanguliza ahera! Mtu hataki kulipa...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: John Mnyika Kuendelea kumtetea Tundu Lissu Mahakamani. Maswali ya Dodoso kutoka Jamhuri kuendelea leo 1, Septemba 2026

    We kweli ni nyumbu zero brain unashabikia kitu huelewi km zoba. Hapo Mnyika ni zero kabisa mnaona mwenyekiti wenu anafungwa mchana kweupe. Kweli kuwa mfuasi wa chadema ni km wafuasi wa Joseph Kibwetere wa Uganda akili zao zote wamezikabidhi kwa Lissu.
  7. S

    JamiiForums Tanzania We mwl. Kuluthum Lema wa S/M Kimandafu uko juu ya waziri wa Elimu? Kwanini uwachape wanafunzi waliofika shuleni kabla ya saa moja asubuhi?

    Ni hivi karibuni waziri wa Elimu Prof. Adolf Mkenda alikumbushia muda wa wanafunzi kufika shuleni asubuhi ni saa 2 asubuhi. Na hiyo ni kwa mujibu ws sheria namba 84 inayoongoza shule za misingi nchini. La ajabu walimu bado wanadharau na kupuuzia maelekezo ya viongozi wakuu level ya waziri wa...
  8. S

    JamiiForums Tanzania Mhe. Rais makamu wa Rais ni John Mongela

    Hakuna mtu anamfikia John Mongela kwa sasa. Ni mwadilifu, mnyenyekevu, mtiifu. Wanaoweza kufuatia Innocent Bashungwa, Dotto Biteko
  9. S

    JamiiForums Tanzania Hakuna vyuo vikuu vya hovyo km vinavyomilikiwa na KKKT.

    Kanisa KKKT lina vyuo vikuu kadhaa hapa nchini, hili kanisa limejengwa ktk msingi wa ubinafsi uliopitiliza. Walianza na Tumaini University iliyokuwa Iringa, sasa hivi wameiita Iringa University, huwezi kuta neno Tumaini kwasababu askofu wa Iringa anaona km taasisi yake na ya wahehe. Tumaini...
  10. S

    JamiiForums Tanzania Kijana Emmanuel aliyemwaga chozi akilalamika kuwa amesoma Electronic Engineering lakini hapati kazi leo amemtambulisha mke wake

    Vt vingine ni aibu, hao wote mateja hakuna cha electronics engineering, mwulizeni diode ni kt gani
  11. S

    JamiiForums Tanzania Wicknell Chivayo 'Mwizi wa Uchaguzi’ na ‘Kipenzi' cha wanasiasa Barani Afrika, ameshatia mkono na kwetu?

    Kwa hiyo Rais angemfukuza hadharani? Vt vingine ni kukosa hoja. Tabia binafsi ya mtu ni ngumu kuiingilia.
  12. S

    JamiiForums Tanzania Tuongee ukweli, Abdallah Ulega hastahili kuwa Waziri wa Ujenzi

    Samia ni Rais mstaarabu, ana uwezo ila uswahili unamgharimu. Mawaziri km Abdallah Ulega, Makame Mbarawa kinachowabeba ni uislam na uzanzibari, Makame ni aibu kumwita waziri tena wa Uchukuzi. Ulega hakuna kitu pale, tena siku hizi ameanza arrogance, hii serikali inayokuja sijui itakuwaje. Ulega...
  13. S

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa Wanamtandao Rostam Azizi aweka mpira kwapani, Hajaonekana Azam TV kama ilivyotangazwa, kaogopa nini?

    Km kwl kakimbia amekosea sana ila km alipata udhuru basi ipangwe siku nyingine
Back
Top Bottom