Recent content by sangaedo

  1. S

    Company ya Samsung smartphone

    Asanteni wadau nimejifunza kitu
  2. S

    Company ya Samsung smartphone

    Habari zenu wote wanajf naomba nieleweshwe juu ya company hii Simu zake asilimia kubwa vioo vyake (screen) mbona hupasuka sana ni rafiki zangu wengi wanazo na screen zao wote zimepasuka aidha kipande kidogo au michirizi na tofauti na company zingine sasa cjui matunzo ni hafifu au company...
  3. S

    Tanzania haitopata rais kama Kikwete

    Jk ni janga la Taifa nchi hii kasambaratisha rasilimali zetu na kuchakachua katiba
  4. S

    Madaktari, Hivi hamjui kuandika vizuri au mnafanya makusudi?

    Waaache micharango yao inaboa sana
  5. S

    O-Ten (Philipo Nyandindi), yuko wapi siku hizi?

    Msiusahau bonge nyimbo kali unaitwa Mkuu wa mkoa
  6. S

    Pikipiki aina lifan inauzwa chee

    Risiti unalo Mkuu !!?
  7. S

    Huyu George Maratu wa ITV style yake ya utangazaji ikoje?

    Namkubali saaaana huyu George Maratu ni mbunifu sana kusudi uweze kutoka fanya tofauti na wenzako huoni mpaka sasa mnamdiscuss yule jembe
  8. S

    Mapinduzi Zanzibar

    Wamesahau
  9. S

    Anaejua aina hii ya simu

    Nashukuru kwani ni simu sio cm@ Chachu Ombara
  10. S

    Anaejua aina hii ya simu

    Samahani wadau kwa wale wazoefu wa cm naombeni ushauri vp kuhusu aina hii ya simu yaani LG smartphone kuanzia ubora,upatikanaji wa spear na mengineyo
  11. S

    Ushauri juu ya Toyota Noah na Toyota Voxy

    Toyota Noah ndo mpango mzima hususani road tour imetulia iwapo barabarani na huuzika kirahisi
  12. S

    Car4Sale Nissan march inauzwa mil 4.2

    Unagonga mno bei
  13. S

    Natafuta Boxer BM 150

    Huna nia na boxer laki 5 nunua tu smart phone
  14. S

    Nanunua King'amuzi cha Azam

    Hio ni bei ya jogoo
  15. S

    Natafuta channel dish kubwa

    Ambae anadishi kubwa pekee au pamoja na vifaa vyake yaani receiver ,remote pamoja na (puk) awasiliane what's up 0752048709 nipo makambako njombe
Back
Top Bottom