Recent content by sandu77

  1. S

    Hatari! Dada aibukia kwa RC Makonda na kudai ametelekezwa na baba yake ambaye ni Mzee Edward Lowassa

    Bashite anaangalia mwanamke anayezaa sana ajalibishie na yeye kama anaweza kubebesha mimba Sent from my itel it1507 using JamiiForums mobile app
  2. S

    Jimbo la Chemba anakotokea Juma Nkamia aliyetaka Magufuli aongezewe muda

    acha uongo ukisema vijiji vyote vina fanana unadanganya naukisema umevitembelea kalibu vyote unadanganya kaka nchi hii ina vijiji vingi sana hata robo huja tembelea kuna wilaya kwenye hii nchi inavijiji 120 mpaka 150 hizi ni wilaya halafu we useme umetembea mikoa yote vijiji karibia vina fanana...
  3. S

    Jimbo la Chemba anakotokea Juma Nkamia aliyetaka Magufuli aongezewe muda

    hao wakipelekewa chunvi na kofia kanga watamchagua tu kwa picha hizo hao ni wana ccm damu huwezi wageuza ata ufanye nn achana nao fuata kilicho kupeleka utapoteza muda wako kuongea na ho mazombi
  4. S

    Kwanini karibu kila kitu anachoanzisha Magufuli kinakuwa na mwisho mbaya?

    aache kukurupuka ninavyo mfahamu uncle sio yule wa kipindi alikuwa waziri ,aliyekuwa waziri alikuwa bora sana wa sasa ambae nni mkuu wa nchi hapana anafanya mambo tofuati sana na ameprove felly ,ushauri wangu akae chini asiklize wataalamu wake na maraisi wasitaafu atasonga mbele lakini...
  5. S

    IGP Sirro: Tumetuma makachero Nairobi kumhoji Lissu na dereva wake

    mbona uzi huu umeegemea katika kumuchambua dereva wa lissu na kumpa shutuma kana kwamba kafanya hili tukio ukisikiliza clip ya lissu mwenyewe wakati anahojiwa na bbc hakuna sehemu inayo mtaja dereva lakini inasema pale anapoishi lissu kuna cctv mlangoni kwa kalemani waziri wa nishart ambae...
  6. S

    Kwa hii kashfa ya Mbowe kugeuza CHADEMA kuwa kichaka cha Mafisadi, anapaswa kujiuzulu

    huyu muleta uzi amechangnya taarif kwa kifupi tu aliyeuza nyumba za seriksli nia aliyekuwa waziria wa wizara ya nyumba na makazi kipindi hicho mh. jonh jseph pombe magufuli na sasa ni rais wa jamuhuri ya muungano wa tanzania sote watz tuna jua na si sumayi tafuta kingine cha kumuchafua sumayi...
  7. S

    Mbowe atoa ruhusa kwa TAKUKURU kuwachunguza Lowassa, Sumaye na Nyalandu juu ya Ufisadi

    Mumesharuhusiwa sasa na komredi Mbowe anzeni sasa kuchunguza hamna cha kuchunguza nilimusikiliza kwa makini kigwangala akimtuhumu nyalandu kuwa ni fisadi lakini mwisho wa mchango wake akasema hakusaini mkataba sasa nikajiuliza mtu msomi kama kigwangala anatuletea ujinga kama huu nakutufanya sisi...
  8. S

    Mbunge Mnyika umesusa Jimbo na Siasa?

    kazi ya mbunge ni kuikosoa ,kuishauri na kuisimamia serikali iweze kuleta maendeleo mnyika amekuwa akiltimiza hayo siku zote kama hamutaki tuleteeni sisi huku simiyu tuwape maccm maana huku tangu uhuru yapo lakini hakuna yaliyo fanya angarau mnyika yameonekana anayopigania huku tunakunywa maji...
  9. S

    Wabunge 8 na madiwani 2 wa CUF waliofukuzwa, Warudishiwa Uanachama hadi kesi ya Msingi itakapotolewa Uamuzi na Mahakama

    huyu profesa lipumbavu atajuta sana kwa kuhalibu sifa yake aliyokuwa ameijenga kwa siku nyingi kwa sababu ya tamaa ya fedha kidogo
  10. S

    Diwani wa CHADEMA huko Iringa mjini ahamia CCM adai Peter Msigwa ni dictator,uongozi manispaa haueleweki

    hata nimeshindwa kuelewa lengo lao ni nini sasa ancle anatakiwa aliangalie hili wakijihuzulu hakuna kurudia uchaguzi maana hata hela zilizo kuwa ziende kwanye maendeleo sasa zitaishia kwenye uchaguzi jinga sana watasababisha tutukane matusi makubwa makubwa tuende jela.
  11. S

    Hizi likizo za Rais Magufuli ni tofauti na watumishi wengine?

    jiangalie kwanza wewe maisha yako ndio uwaeleze wenzio hunijui maisha yangu yakoje unakulupuka tu kuongelea maisha yangu kwa taarifa yako hata zuie mwaka mzima kufanya kazi huyo baba ako sita lala njaa
  12. S

    Tundu Lissu mbioni kutoa kitabu

    afadhali na awataje walio husika na kumjeruhi mimi siku atakayokitoa nitakinunua
  13. S

    Hizi likizo za Rais Magufuli ni tofauti na watumishi wengine?

    acha tu lichukue likizo maana tumechoka kuliona kila siku kwenye tv kwasababu limezuia wenzake kutangazwa taarifa zao
  14. S

    BoT wajitafakari kabla ya kuwatuhumu Bloomberg

    u uko sawa kabisa
Back
Top Bottom