ZITTO ndio mdudu gani huyo? Kwahiyo wewe unataka huyo Zitto wako ndie awe msemaji wa mwisho kwangu hayo si mawazo yake kwa maslahi yake.
""Katika hali ya sasa ambapo mambo mengi yako hadharani waheshimiwa wabunge wawili ambao wamejitokeza waziwazi kutaka kuwakamata wezi na wala rushwa, hasa kwa...
Ukweli utabaki kuwa fedha za escrow ni mali ya IPTL, hivi vikaratasi vyenu mtajua wenyewe mmevitoa wapi. Mgogoro wa capacity charge uliamualiwa tangu mwaka 2001 kwa capacity charge kushushwa toka $ 4.2 mil mpaka $ 2.6 mil na IPTL walikubali. Kama wao TANESCO walikuwa vichaa kwa kulipa zaidi...
Inasomeka sehemu ya taarifa ya The Citizeni la leo tarehe 17/11
Mr Sethi and his son own 50 per cent of PAP, while the rest is owned by a company called Simba Trust that is said to be incorporated in Australia, according to investigations conducted by The Citizen.
What brings the transaction...
Inasomeka sehemu ya taarifa ya The Citizeni la leo tarehe 17/11
Mr Sethi and his son own 50 per cent of PAP, while the rest is owned by a company called Simba Trust that is said to be incorporated in Australia, according to investigations conducted by The Citizen.
What brings the transaction...
Inasomeka sehemu ya taarifa ya The Citizeni la leo tarehe 17/11
Mr Sethi and his son own 50 per cent of PAP, while the rest is owned by a company called Simba Trust that is said to be incorporated in Australia, according to investigations conducted by The Citizen.
What brings the transaction...
Inasomeka sehemu ya taarifa ya The Citizeni la leo tarehe 17/11
Mr Sethi and his son own 50 per cent of PAP, while the rest is owned by a company called Simba Trust that is said to be incorporated in Australia, according to investigations conducted by The Citizen.
What brings the transaction...
Mgogoro wa IPTL kuwatoa kafara mawaziriNa Mwandishi Wetu
MGOGORO wa kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), umepangwa kuwatoa kafara baadhi ya viongozi waandamizi wa kisiasa kutoka ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na mamlaka nyingine za utawala ndani ya serikali...
Umeshaiona ripoti lakini?? Haya maneno ukija kuyanena tarehe 26 itakuwa vizuri sana. Tusubiri tuone, nshaanza kusikia kelele za uchakachuaji lakini, wasiwasi wangu ni kuwa mtakataa matokeo ya ripoti.
Hamuwezi kutukatisha tamaa, mnaleta hoja na mikakati yenu ya kuchafua watu na kupandikiza chuki kwa watu na serikali yao, mnabahati mpo Tanzania humu, mnamtukana Mh. rais hamchukuliwi hatua vikaragosi nyinyi.
Hii nchi imesonga mbele mara 1000, hutaki acha au kaandamandane. Mnapayuka tu hovyo 24...
Hawa watu hawawezi kukuelewa wamekula mshiko kuchafua hali ya hewa na kupushi ajenda yao ya kuwatoa kisiasa, maana kila kitu kipo wazi hizi fedha ni za IPTL toka mwanzo mpaka leo hakuna kitakacho badirika. Ukitaka kujua hilo wewe angalia wanavyobadili madai yao kila kukicha, hawana hoja...
Hakuna mwaka ambao mlishinda au kukaribia ushindi nyinyi wasaka tonge, msijifariji!!! acheni kututisha kwa machafuko watoto wajaa laana nyie!!! Hakuna mtanzania atakae anzisha machafuko kwa maslahi ya MBOWE au UPAWA.
IPTL ni chama kipya cha siasa kumbe asante mkuu nilikuwa sijui! mkuu Tegeta escrow account ndio kitu gani naomba mawazo yako mkuu. Richmond nawaelewa sindio ile kampuni hewa ambayo hata mmliki wake alikuwa hafahamiki, lakini walikuwa wakichota mihela na baadae wale wenzao kina Dowans wakashinda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.