Recent content by sandefs

  1. S

    Mbowe kulipua ufisadi wa Bomba la Gesi

    Tuache Malombano, Inasemekana Bil 1.4 Zimepigwa Kwenye Ujenzi Wa Bomba La Ges. Kuhusu Nani Ana Nguvu Tusubiri Oktoba Mwakani Tutamjua Mwanamme.
  2. S

    Kumekucha Mikoa ya Kusini: UKAWA wakiwa makini Lindi na Mtwara itakuwa 'si hazina yao'

    Asante Mjita, It's A Point Of No Return! Tumechoka Vyakutosha.
  3. S

    Kumekucha Mikoa ya Kusini: UKAWA wakiwa makini Lindi na Mtwara itakuwa 'si hazina yao'

    Habari Waungwana Na Wale Buku7 Wa Lumumba, Leo Nipo Tandahimba Kuifuta Ccm. Kuanzia Saa 8 Mchana Nitawaletea Updates. Rafiki Yangu Kundambanda Yupo Mchinga, Bobani Hamidu Yupo Lindi Vijijin Na Kassi Bingwe Anguruma Masasi Wakati Nakanyomwa Anaimaliza Ccm Nachingwea. Halali Mtu Hapa...
  4. S

    Kumekucha Mikoa ya Kusini: UKAWA wakiwa makini Lindi na Mtwara itakuwa 'si hazina yao'

    DRAFT MKOA WA MTWARA: Mtwara Mjn-Nccr-Mageuzi Mtwara Vjjn-Cdm Newala-Cuf Masasi Mjin-Cdm Masasi Vjjn-NLD Dr. Makaidi *** Nanyumbu- Cdm Tandahimba- Cuf Lulindi- NLD Mrs Dr. Makaidi *** HATOKI MTU HAPA MACHEO HATA MAWIO. USHAURI UNAKARIBISHWA...
  5. S

    Kumekucha Mikoa ya Kusini: UKAWA wakiwa makini Lindi na Mtwara itakuwa 'si hazina yao'

    Ni Miaka Kumi Sasa Tokea Nitambue Kwamba Tanzania Imegeuzwa Shamba La Bibi Ndipo Nikadhamilia Kuipigani, Katika Vita Hii Ni Miaka 10 Sasa, Nimejifunza Na Kuelewa Aina Ya Silaha Za Adui, Nimemtafiti Vya Kutosha Na Sasa Matunda Ya Juhudi Zangu Yameanza Kuonekana. Vijana Wamejiandikisha Kuingia...
  6. S

    Tatizo la Ajira (zenye tija) nchini: Ripoti ya Benki ya Dunia na Mikakati ya Serikali ya Tanzania

    Kuwe na agency ya ajira zote katikati ya boss na mfanyakazi, ambayo pia ni chama chao. Umri wa kazi uwe 55 si 60, mafao
  7. S

    Kati ya Mbowe na Lyatonga Mrema yupi alitisha katika Upinzani?

    Wewe lofa hujitambui. Mbowe una mlinganishaje na mrema!
  8. S

    Tanzia: Mwenyekiti mstaafu wa baraza la wazee cdm (w)-nach selemani abaki amefariki

    Mwenyezi mungu ailaze mahali pema peponi roho ya marehemu mzee selemani abaki amina!
  9. S

    Tanzia: Mwenyekiti mstaafu wa baraza la wazee cdm (w)-nach selemani abaki amefariki

    CDM Nachingwea tumeondokewa na Mzee makini na mwongozo kwa vijana, amefariki NYANGAO HOSPITALI ALASIRI. R.I.P KAMANDA!
  10. S

    Nchi hii inapoteza uelekeo, wasomi mko wapi?

    CCM ingekuwa mche tayari mizizi yake imeshaliwa na mchwa. Tusiuchimbue au tusiukate bado CCM utakufa tu! ALUTA....
  11. S

    Nchi hii inapoteza uelekeo, wasomi mko wapi?

    WAPO 51 KATI YA 100 wenye mbongo ya kweli, na hao CCM inawatesa popote walipo iwe makazini au vyuoni, nyumbani au mitaan
  12. S

    Now Ukawa seeks to edge CCM in 2015

    UKAWA should keep it up! CCM will not left this country freely
Back
Top Bottom