udini na ukamilifu kwenye maisha manao nyinyi tuu ndio wasemaji na waonaji kwenye maisha ya siasa ya nchii hii? mshayasema mangapi na kulaani mangapi yamefanikiwa na yaloendelea!
kazi mlobaki kuendekea na fitina za kisiasa na kujifanya nyinyi ni wakamilifu hivi huo wema wenu na ubora wenu...
Hakuna mkamilifu, kila mtu na hitilafu yake ukigoma unadhani utatambuliwa na ukitambuliwa unazani utahusishwa, kilobaki ni kuendelea na fitna dunia nzima na kuzuia kila lenye kheir na znz hayo ndio maisha yalozoeleka kujichanganya hutaki unaanza na hawa makafiri, wanafiki, wizii, hawana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.