Hiyo kweli mtu wng.kwani hata FISADI PAPA alipoomba kujiunga chadema wakampokea.licha ya kuwa walishawahi kumchafua nchi nzima.na wamempa nafasi ya kugombea urais pamoja na ufisadi wake.hakika chadema tumekomaa kisiasa.
lowassa nzuri.ila company yke ni mafisadi wote.ndicho kitakachimwangusha.kingine.hana uchungu na watanzania ila ana uchu wa madaraka na kulipa visasi kw waliokata jina lake.kwa maana hiyo hafaida asilani abadani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.