Mkuu Umesoma nilichoandika lakini,au unacoment tu !?,nimesema niliwapigia simu wakaniambia nikonfem kwanza kujiunga chuoni hapo baada ya hapo Kuna option ya kuahirisha maombi itatokea,kitu ambacho si kweli
Ndiyo vigezo nilikuwa navyo,lakini pia hata sikuwa na vigezo wangeniacha sio kunichagua na huku Sina pa kuahirisha maombi yangu
Mîimi niliomba information technology,cha kushangaza napewa business administration
Ndiyo lakini vyuo vyote nimechaguliwa kozi nisiyotaka,sasa nikabibi nikancel maombi, udsm wao wamekubali kunitoa,pamoja na udom ambako kote niluchaguliwa kozi ya elimu kwa udsm na udom,
Sasa hawa hawana option ya kucancell ombi,nilipowapigia wakaniambia nikonfem kwanza baadae itakuja option ya...
Kero Kuhusu Utaratibu wa Uchaguzi wa Kozi na Uthibitishaji wa Maombi katika Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA)
Chuo hiki hakizingatia Maombi ya Kozi Halisi kinawachagua wanafunzi katika kozi ambazo hawajaomba rasmi,mfano Mimi niliomba Kozi ya information technology Tena maombi matatu,wao...
Mkuu kama ingekuwa hivyo basi kungekuwa hakuna maana ya kuwepo Kwa utawaka wa Sheria,mtu angekosea na watu wangeji-oganize kumuadhibu, mamlaka maana yake uwezo wa kutenda as longer as tunaishi Kwa utawala wa sheria
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.