Recent content by Samulai

  1. S

    Viatu vizuri vya mtumba kwa wanaume

    Hiki nacho bado kipo weka namba.
  2. S

    Viatu vizuri vya mtumba kwa wanaume

    Hiki kiatu vipi bado kipo ni weka namba nikupgie nije nikione.
  3. S

    Call for Interview-Tanzania Ports Authority(TPA) 22-May-2019

    Madereva mlioudhuria usaili mchujo jumamosi tar 1, naomba kujua ulikua ni mchujo gani.
  4. S

    Call for Interview-Tanzania Ports Authority(TPA) 22-May-2019

    Nimesoma PSV nimesoma kuendesha basi la zaidi ya abiria 60 ila sijaweka bado C kavu kwa sasa nina leseni tu kama yako mkuu.
  5. S

    Call for Interview-Tanzania Ports Authority(TPA) 22-May-2019

    Kwa hizo sifa kama hawajakuita basi kutakua na tatizo katika profile yako au uandishi wa barua.
  6. S

    Call for Interview-Tanzania Airports Authority(TAA) 30-May-2019

    Ahsante mkuu kwa ushauri wa kijasiri na maendeleo.
  7. S

    Call for Interview-Tanzania Ports Authority(TPA) 22-May-2019

    inasoma 84, kwani wewe unaleseni gani na cheti gani cha udereva.?
  8. S

    Call for Interview-Tanzania Airports Authority(TAA) 30-May-2019

    Mkuu kazi serikalini nataka sana shida nimewahi kufanya interview moja nilijitahidi sana practical lakini sikuitwa oral, na kipindi hicho tuliitwa watu 27 kwenye post 8, sasa kila nikijifikiria hapo navunjika moyo kutumia nauli kubwa kuja dar na najua uwezekano wa kupita ni mgumu hata...
  9. S

    Call for Interview-Tanzania Ports Authority(TPA) 22-May-2019

    Madereva naomba mrejesho ulifanyika usaili gani.
  10. S

    Call for Interview-Tanzania Ports Authority(TPA) 22-May-2019

    Madereva mtakaoudhuria usaili leo naomba tujulishane kimeendelea nini maana wameniita ila nimeshindwa kuja.
  11. S

    Kiatu kikali cha Clarks kutoka Uingereza

    Wapi nitapata kiatu chenye muonekano kama hiki, hasa kiwe mtumba au used ila kiwe ngozi kwa bei ya kawaida kama 40k.
Back
Top Bottom