huku mtaani imekua kama vijembe kina mama wana lalamika hakuna wanaume waoaji,nasi pia tuma lalamika hakuna wanawake wakuoa ivi hichi kizazi kitaishia wapi ,single parents ina chukua nafasi ya ndoa sasa why guys hivi nikweli ndoa au uhusiano wakudumu hauto kuwepo maana nia asilimia chache sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.