Matokeo ya awali Jimbo la Handeni:
Waliojiandikisha - 38597,
Waliopiga kura - 16,046,
CCM imepata kura - 12,698,
CUF imepata kura 2,522,
Chadema kura 632,
ACT imepata kura - 194,
TLP imepata kura - 13.
Hivyo Mkurugenzi na msimamizi wa uchaguzi amemtangaza Ndugu Omar Abdallah Kigoda...