Recent content by samracka

  1. samracka

    habari wakuu.......naomba msaada nilikuwa najaribu kumfanyia application mtu UDSM nilipofika mwisho ikaleta hayo maelezo.

    habari wakuu.......naomba msaada nilikuwa najaribu kumfanyia application mtu UDSM nilipofika mwisho ikaleta hayo maelezo, inaonesha kama huyo mtu alishakuwa admitted. hakuwahi fanya application TCU. Na ana diploma anaenda degree. msaada wakuu.
  2. samracka

    Mada maalum: Karibu tujadili masuala yote kuhusu Mikopo ya Elimu ya Juu

    ndugu vp still bado hawajatoa percentage.....????
  3. samracka

    Mada maalum: Karibu tujadili masuala yote kuhusu Mikopo ya Elimu ya Juu

    kama tumelamba zerooo ndo basi tenah........ishu ni kwamba hata hao watu wao wa science waaowataka nao wamewalambisha zeroooo hatari.
  4. samracka

    Mada maalum: Karibu tujadili masuala yote kuhusu Mikopo ya Elimu ya Juu

    wanatupa wakati mgumu sana.....leo hawajaja chuo kwa excuse kuwa wana calculate percentage ila mpaka sasa zeroö
  5. samracka

    Mada maalum: Karibu tujadili masuala yote kuhusu Mikopo ya Elimu ya Juu

    Habari wakuu, Kama yupo mtu aliyeoona percent ya mkopo aliopata atufahamishe sie wengine tujue kama ndo tumeambulia zero. Asanteni.
  6. samracka

    HESLB: Orodha ya Majina ya Waliopata Mkopo (Awamu ya Kwanza) 2016/17

    mm jina langu nimelikuta kwenye list ya UDSM ila nimeingia hapo wananiambia ur not secuared loan.
  7. samracka

    Naomba msaada, kanusha sentensi hii "ameshiba sana"

    hajashiba sana ndio dahihi.....maana inakanusha tendo lililopo la Ameshiba sana. ukisema hakushiba sana.....ni wakati ulishapita.......kwakuongezea tu ila mkuu hapo juu ameshakujibu.
  8. samracka

    TCU yapunguza vigezo vya kuingia Vyuo Vikuu kwa waombaji wa Diploma 2016/2017

    yaaah......sasa nauliza vp mkuu.....kwa sasa wanafungua system kwa wasio apply tuh auhata walio apply mwanzo wanaweza badili machaguo......maana nilitesti kufungua ikawa inaandika system imefungwa.
  9. samracka

    TCU yapunguza vigezo vya kuingia Vyuo Vikuu kwa waombaji wa Diploma 2016/2017

    Amani iwe juu yenu wakuu.....naomba msaada kwa mwenye kuelewa....vp kwa wale diploma holders ambao walishafanya application hawawezi ku edit kwa sasa....???maana TCU wamepunguza GPA na wameruhusu wasio apply waanze kuapply. au ndo inaruhusu wasio apply tu. Naomba msaada tafadhali.
  10. samracka

    Msaada jinsi ya kuconfirm baada ya kumaliza kufanya application ya vyuo CAS

    watu wanachanganya sana, wengine wanasema eti kuna pahala pa kuconfirm.........ila ukitafuta hakuna hiyo sehemu sasa sijui wao wanaiona kwa wapi...
  11. samracka

    Msaada jinsi ya kuconfirm baada ya kumaliza kufanya application ya vyuo CAS

    Wakuu naombeni msaada wenu, nimemaliza kufanya selection kwa maana nimeshajaza vyuo 5 as maximum sasa nataka kujua kama ukimaliza kuna kuconfirm au kusubmit au ukimaliza unaacha vile vile.....????? msaada wenu wakuu.
Back
Top Bottom