Chidy aliamini baba yake anaemlea ni babayake mzazi, pia mama yake kadhalika, japo mzee muro alikua na wake watatu, aliweza kuwamudu wote na kuwakidhi mahitaji yao. Hakutaka kuifichua siri nzito iliyopo baina yake yeye, mkewe na chidy ambae kwa kipindi kirefu amekua akimdanganya kua yeye ni baba...