Nchi hii imeshikiliwa na walafi wachache,imagine mchakato wa Katiba kupitia Tume ya Warioba ilitumia zaidi ya Bilioni 300,lakini mahafidhina wakaua ndiyo za Watanzania za kupata Katiba mpya kwa ubinafsi wa kupoteza madaraka.
Ilani ya CCM imesema ndani ya siku 100 mchakato utaanza,Leo tuna siku...
Waweke Article of Union ituonyeshe uhalisia. Lissu alisema kwenye bunge la Katiba kuwa hati ya Muungano imefojiwa,lakini mpk kesho hakuna uthibitisho kama kweli haijafojiwa.
Wanaotaka Muungano ni watawala,waliwahi kutaka kujua Sisi wenye nchi na mwenye mamlaka za kuziweka serikali madarakani...
Tuna wajibu mkubwa kwenye jambo hili,Robert Kennedy Jr aliwahi kuwauliza Wamarekani wamewahi kuifanyia Nini America,badala ya kufikiri America imewafanyia Nini!
Sisi jukumu letu kubwa ni kudai Katiba mpya itakayofunua mifumo kandamizi ya kifamilia kwenye serikali ya umma. Hilo iwe ndiyo kazi...
Mada yangu ya awali nilisema Katiba ya wananchi ndiyo moyo wa nchi unaosukuma mienendo/mwongozo wa sheria mbalimbali kwenye nchi yeyote Ile Duniani.
Umuhimu wa Katiba mpya ya wananchi unashinikizwa na wakati uliopo na mwenendo wa serikali yetu katika utawala wake. Viashiri vya ukomavu wa...
Kuna anguko la serikali na kuna anguko la nchi. Mwalimu Nyerere alisema, “Ili tuendelee tunahitaji watu, ardhi, siasa safi na uongozi bora.” Kwa msingi wa hoja ya Mwalimu, kama hakuna watu, hakuna ardhi, na hakuna siasa safi na uongozi bora, nchi hiyo ni mufilisi. Nchi mufilisi ni sawa na kichwa...
Upo msemo wa wahenga unasema asiyejua kufa achungulie kaburi. Msemo huu umebeba dhima nzito juu ya uumbaji wa Dunia na mwanadamu.
Quran tukufu nayo imesema kila nafsi itaonja mauti,Kwa msingi huo kifo ni sehemu ya uumbaji katika kumkutanisha Mja na Muumbaji.
Kama kifo ni wajibu kwanini...
Mabadiliko nimesema ni suala mtambuka kwenye jamii inayonizunguka harakati unaendelea jukwaa hili ni kichocheo Cha fikra kuambukiza wengi,wapo wanaosoma lakini si member. Information is power
Toka kuasisiwa kwa kauli mbiu ya No reforms no election(NRNE) iliyopitishwa na kuazimiwa na mkutano mkuu wa CHADEMA huenda ikawa ndiyo operation iliyopokelewa kwa kishindo katika operations zote zilizowahi kupokelewa na jamii ya Watanzania.
Mapokeo yake yamejadiliwa kwa impact hasi/chanya...
Huenda ilikuwa systemized kama ulivyosema,lakini Angalia CHADEMA ya miezi sita baada ya uchaguzi wake wa ndani,Angalia attitude ya movement zake Nini unajifunza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.