Zack,propaganda inayopingana na uhalisia haijawahi kufanikiwa popote Duniani.
Unaharibu narration ya story yako,lakini mwisho wa siku unajua ukweli ulivyo.
Mzee hanunuliki,na hazuiliki,ukitaka kumzuia uwe na hiyo sheria,ndiyo maana alipozuiliwa kutumia simu aliyoinunua kwa fedha zake...