Recent content by sammosses

  1. sammosses

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kuna Mwanasiasa anavuka Red line soon.

    Hiyo ni kuwauzia watu uoga,katika uumbaji nani hataonja umauti,wako walikufa sebuleni walichagua kunyamaza lakini risasi ziliwafuata,Yuko wapi Shariff makini,pamoja na Dua yote risasi hakuikwepa unafiki,ukiangamiza wanaopaza sauti ya kutaka haki unapambana na ghadhabu ya Mungu
  2. sammosses

    JamiiForums Tanzania Tusilazimishe ugaidi/ uhaini kwenye umaskini wakutupwa kama silaha ya kuficha maovu

    UGAIDI/Uhaini wa kubambikiwa raia wasio na hatia ni ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu. Makosa haya mawili ndiyo makosa makubwa sana kwa mujibu wa makosa ya kijinai,hivyo unapompa tuhuma za Ugaidi/Uhaini raia mwema,ambaye ndiye chanzo cha mapato ya serikali na mjenga nchi wa nchi,maanake...
  3. sammosses

    JamiiForums Tanzania Mnyika: Bado Ofisi ya Msajili inatafuta njia Shughuli za CHADEMA zisimamishwe, tumeandikiwa barua tujieleze

    Hakuna upinzani unaopangiwa,kazi hiyo wape wenzenu wa CHAUMMA na shikizi wenzao. Simlitaka siasa ya vyama vingi kwanini mbinu chafu zinawaindolea umadhubuti wenu,au ndiyo siku za miaka 60 ya ustaafu zinavunja kabisa uwezo wa kufikiri. Mzee Warioba ana miaka 86 kwanini na uzee wake anawazidi...
  4. sammosses

    JamiiForums Tanzania Malate amvaa Warioba: "Anachochea mzozo!

    Huyo Komba Yuko wapi,unatumika kama toilet paper Kisha uliyemchambisha anaendelea na maisha yake wewe uko kwenye dumppit huna thamani tena. Tufanye serikali Iko sawa kwa Kila kitu,kwanini promo zimekuwa nyingi na tuzo za mchongo Kila kukicha! Kwani unafanya maigizo kwenye mambo yasiyo na...
  5. sammosses

    JamiiForums Tanzania Mnyika: Bado Ofisi ya Msajili inatafuta njia Shughuli za CHADEMA zisimamishwe, tumeandikiwa barua tujieleze

    Jibu jepesi sana,kama hawataki siasa za ushindani wafute mfumo wa vyama vingi mbaki pekee yenu. Lakini ninyi wanaufaika wa mfumo,bila CHADEMA madhubuti kazi za kujitoa akili zitapotea,mtarudi kijiweni kwenye maisha ya mateso,piganieni mfumo uwatoe kwenye ukupe,Slogan ya Mwl ilikuwa usiwe...
  6. sammosses

    JamiiForums Tanzania Warioba, Chadema na Njama za Oktoba 29

    Hawa vijana wamejazwa Kila Kona,tulikuwa na ombwe kubwa la uongozi,likaongezeka ombwe la fikra na sasa ombwe la maadili,kazi ipo. Wahenga wana msemo wao unaosema "kufa kwa masaburi,mavi yote kutawanyika" hiki ndicho kinachokuja
  7. sammosses

    JamiiForums Tanzania Warioba, Chadema na Njama za Oktoba 29

    Lazima udhalilike kwanza,mtumikie kafiri upate mradi wako
  8. sammosses

    JamiiForums Tanzania Warioba, Chadema na Njama za Oktoba 29

    Zack,propaganda inayopingana na uhalisia haijawahi kufanikiwa popote Duniani. Unaharibu narration ya story yako,lakini mwisho wa siku unajua ukweli ulivyo. Mzee hanunuliki,na hazuiliki,ukitaka kumzuia uwe na hiyo sheria,ndiyo maana alipozuiliwa kutumia simu aliyoinunua kwa fedha zake...
  9. sammosses

    JamiiForums Tanzania Je, Demokrasia ya Tanzania inaruhusu Misingi ya Uporaji Haki za Raia na Mali zao

    Tanzania, nchi yenye mamlaka kamili iliyosaini mikataba mbalimbali ya Kimataifa hususani mikataba ya kulinda haki za binadamu na ulinzi wa rasilimali za umma imeacha misingi hiyo,na sasa inajinadi kuwa na Demokrasia yake na tamaduni zake. Kwa kuwa lengo ni kukuza aina mpya ya Demokrasia ya...
  10. sammosses

    JamiiForums Tanzania Ubadhirifu wa mali ya umma moja ya nguzo muhimu kuimarisha CCM - dola katika ukandamizaji haki nchini

    TANU baba mzazi wa CCM aliyezaliwa 07/07/1954 na kuzikwa mwaka 05/02/1977 aliondoka na mambo yake yote. Kuzaliwa kwa CCM kulichagizwa na sababu ya Muungano wa nchi mbili Tanganyika ambaye ni Marehemu na Zanzibar zote zikiwa nchi zenye mamlaka kamili. Waasisi waliamini Muungano tu hautoshi,ili...
  11. sammosses

    JamiiForums Tanzania Kwanini Katiba Mpya ni muhimu sasa kuliko wakati wote!

    Nchi hii imeshikiliwa na walafi wachache,imagine mchakato wa Katiba kupitia Tume ya Warioba ilitumia zaidi ya Bilioni 300,lakini mahafidhina wakaua ndiyo za Watanzania za kupata Katiba mpya kwa ubinafsi wa kupoteza madaraka. Ilani ya CCM imesema ndani ya siku 100 mchakato utaanza,Leo tuna siku...
  12. sammosses

    JamiiForums Tanzania Kwanini Katiba Mpya ni muhimu sasa kuliko wakati wote!

    Waweke Article of Union ituonyeshe uhalisia. Lissu alisema kwenye bunge la Katiba kuwa hati ya Muungano imefojiwa,lakini mpk kesho hakuna uthibitisho kama kweli haijafojiwa. Wanaotaka Muungano ni watawala,waliwahi kutaka kujua Sisi wenye nchi na mwenye mamlaka za kuziweka serikali madarakani...
  13. sammosses

    JamiiForums Tanzania Kwanini Katiba Mpya ni muhimu sasa kuliko wakati wote!

    Tuna wajibu mkubwa kwenye jambo hili,Robert Kennedy Jr aliwahi kuwauliza Wamarekani wamewahi kuifanyia Nini America,badala ya kufikiri America imewafanyia Nini! Sisi jukumu letu kubwa ni kudai Katiba mpya itakayofunua mifumo kandamizi ya kifamilia kwenye serikali ya umma. Hilo iwe ndiyo kazi...
  14. sammosses

    JamiiForums Tanzania Kwanini Katiba Mpya ni muhimu sasa kuliko wakati wote!

    Mada yangu ya awali nilisema Katiba ya wananchi ndiyo moyo wa nchi unaosukuma mienendo/mwongozo wa sheria mbalimbali kwenye nchi yeyote Ile Duniani. Umuhimu wa Katiba mpya ya wananchi unashinikizwa na wakati uliopo na mwenendo wa serikali yetu katika utawala wake. Viashiri vya ukomavu wa...
Back
Top Bottom