Sakata la waziri wa michezo na serikali yake dhidi ya mashabiki wa mpira mbali na kutikisa mahusiano ya kidiplomasia yameiweka serikali njia panda kwa kuingilia Uhuru wa michezo hususani mpira wa miguu.
Moja ya kauli mbiu kubwa ya kimichezo ni michezo huleta furaha,ujenga udugu na...
Mtihani huu mwenye kusahihisha ni wananchi,hatari wenye nchi wanaogopa mamlaka yao waliyoyatumia kuiweka serikali,bila katiba Bora ya wananchi hata Jeshi la malaika likishuka litakuwa CCM
Lyatonga Mrema alitenguliwa kwa kutoa Siri za Baraza la Mawaziri akiwa waziri wa mambo ya ndani na naibu waziri mkuu.
Maanake alitoa hadharani Siri ya wizi unaofanywa na kubarikiwa na Baraza la Mawaziri.
Mfumo huo bado unaendelea japo hakuna waziri mwenye gut kama aliyekuwa nayo Mrema,wote...
Rais wa awamu tatu Benjamin William Mkapa alipoingia madarakani aliunda tume iliyoongozwa na Jaji Warioba, kuchunguza rushwa na udhibiti wake.
Kila mmoja aliunga mkono dhamira ya dhati ya Ben. Kilichotokea baada ya taarifa za matokeo ya tume hiyo, alihojiwa kwanini amekwenda nje ya hadidu za...
Shida ya wabunge wanawajibika kwa Mwenyekiti wao ambaye ndiye Rais,hawana nguvu ya ushawishi ndani ya chama ambayo Rais anayo.
Wakimwaga ugali bungeni yeye anamwaga ugali ndani ya chama atakayeumia wabunge wasaka tonge that's all
Maanake ukubwa wa taasisi ya urais hauna tija hata kama Rais si mwanasheria,pili tumekuwa na Marais copy and paste ambao wanajua kusaini bila perusing kwa hiyo kama kuchomekewa ni sababu ya udhaifu wao tu.
Anapofanga vikao na wadau mbalimbali inaonyesha haweki kumbukumbu ya kile alichokisemea...
Taifa linapaswa kujiuliza kama chaguzi zetu ni sahihi kuwepo,Taifa letu ni sovereignty state au ni monarchy state. Hawezekani kila tunapoelekea uchaguzi mbalimbali za kisiasa Taifa linapotezewa uwezo wa kuhifadhi haki za binadamu hususani haki za kuishi na Uhuru wa mawazo.
Ikiwa suala la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.